Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,171

Author: jomushi

Wanamgambo Wawauwa Polisi kwa Risasi Kenya

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Wanamgambo Wawauwa Polisi kwa Risasi Kenya

WANAMGAMBO wa kisomali wamewauawa kwa kuwapiga risasi polisi wanne wa Kenya karibu na mpaka wa Somalia, maofisa wamesema. Takriban watu 40 waliojihami kwa silaha walishambulia…

Continue Reading....

Michel Djotodia Aapishwa Kuwa Rais

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Michel Djotodia Aapishwa Kuwa Rais

KIONGOZI wa zamani wa waasi ambaye alifanya mapinduzi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia ameapishwa kuwa rais. Djotodia ameahidi kuandaa uchaguzi kufikia mwanzo…

Continue Reading....

Watuhumiwa Dawa za Kulevya JNIA Kujieleza Mbele ya Tume

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Watuhumiwa Dawa za Kulevya JNIA Kujieleza Mbele ya Tume

MKURUGENZI wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA), Moses Malaki, amesema watuhumiwa wa njama za kupitisha kilo 150 za dawa za kulevya aina…

Continue Reading....

Matukio Katika Warsha ya Wiki Moja kwa Redio za Jamii

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Matukio Katika Warsha ya Wiki Moja kwa Redio za Jamii

Afisa Mipango Taifa wa Kitengo cha Mawasiliano na Habari na mratibu wa miradi ya UNESCO Yusuph Al-Amin asikiliza maoni wakati akiendesha mjadala wa namna ya…

Continue Reading....

Wafuasi wa Ponda Wapiga Kambi Segerea

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Wafuasi wa Ponda Wapiga Kambi Segerea

WAFUASI wa Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda wamepiga kambi katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam wakitaka kumwona bila…

Continue Reading....

Yajue Matukio Tamasha la Serengeti Fiesta Mjini Kigoma

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Yajue Matukio Tamasha la Serengeti Fiesta Mjini Kigoma

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari