Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,105

Author: jomushi

Taarifa ya Leo Kutoka Kitengo cha Habari TFF

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Taarifa ya Leo Kutoka Kitengo cha Habari TFF

KAMATI ya Rufani ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana jana (Oktoba 13 mwaka huu) kusikiliza maombi ya mapitio (revision) na…

Continue Reading....

Sense Fundi Aongoza Semina Walimu Ngazi za Juu wa Karate USA

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Sense Fundi Aongoza Semina Walimu Ngazi za Juu wa Karate USA

SENSEI Rumadha Fundi Mtanzania mtaalamu wa mchezo wa karate mwenye mkanda mweusi na dan 3, Oktoba 12 na 13, 2013 aliongoza semina ya mazoezi ya semina…

Continue Reading....

Mwalimu Nyerere Ataendelea Kuwa Baba wa Taifa Milele…!

Posted on: October 14, 2013October 15, 2013 - jomushi
Mwalimu Nyerere Ataendelea Kuwa Baba wa Taifa Milele…!

LEO ni kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julias Kambarage Nyerere. Kila ifikapo Oktoba 14 kila mwaka Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha…

Continue Reading....

Mkasa Mzima wa Mauaji ya Mama Yake na Kupigwa Risasi Mwandishi wa ITV, Ufoo Saro

Posted on: October 14, 2013October 14, 2013 - jomushi
Mkasa Mzima wa Mauaji ya Mama Yake na Kupigwa Risasi Mwandishi wa ITV, Ufoo Saro

  MWANDISHI wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi mbili jana alfajiri huko Kibamba, Dar es Salaam. Katika…

Continue Reading....

Salma Kikwete Amtunuku Mtoto Ubalozi wa Heshima wa WAMA

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Salma Kikwete Amtunuku Mtoto Ubalozi wa Heshima wa WAMA

Na Magreth Kinabo – MAELEZO   MKE wa Rais Mama Salma Kikwete, na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) amemtunuku Balozi wa kuwatetea watoto wa…

Continue Reading....

Majadiliano Kati ya Viongozi wa MCC na Ujumbe wa Tanzania Washington DC

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Majadiliano Kati ya Viongozi wa MCC na Ujumbe wa Tanzania Washington DC

Viongozi wa Tanzania ukisikiliza kwa makini uongozi wa MCC hawapo pichani wakati wa majadiliano. Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Jamhuri ya Muungano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari