Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,102

Author: jomushi

Kuziona Simba na Yanga Oktoba 20 ni Sh 5,000 Tu

Posted on: October 16, 2013October 17, 2013 - jomushi
Kuziona Simba na Yanga Oktoba 20 ni Sh 5,000 Tu

  KIINGILIO cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Yanga itakayochezwa Jumamosi ya Oktoba 20 mwaka huu kitakuwa…

Continue Reading....

Mkuu wa Wilaya Rombo Awataka Wadau Kuinua Elimu

Posted on: October 16, 2013 - jomushi
Mkuu wa Wilaya Rombo Awataka Wadau Kuinua Elimu

Yohane Gervas Rombo MKUU wa Wilaya ya Rombo, Elinasi Palangyo, amewataka wazazi na wadau wengine wa elimu wilayani hapa kuchangia jitihada zao ili kuinua na…

Continue Reading....

Dk Mohammed Bilal Ashiriki Swala ya Idd El Hajj Msikiti wa Anwaar Dar

Posted on: October 16, 2013 - jomushi
Dk Mohammed Bilal Ashiriki Swala ya Idd El Hajj Msikiti wa Anwaar Dar

 Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya kushiriki nao katika…

Continue Reading....

JK Akutana na Viongozi wa Vyama Vya Siasa

Posted on: October 15, 2013 - jomushi
JK Akutana na Viongozi wa Vyama Vya Siasa

MKUTANO kati ya Rais Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa vyenye uwakilishi Bungeni umemalizika Ikulu, Dar Es Salaam, Jumanne, Oktoba 15, 2013 kwa pande…

Continue Reading....

Mwili wa Mama Ufoo Saro Wasafirishwa, Mashuhuda Wazungumzia Mauaji…!

Posted on: October 15, 2013October 15, 2013 - jomushi
Mwili wa Mama Ufoo Saro Wasafirishwa, Mashuhuda Wazungumzia Mauaji…!

Mtoto wa Ufoo Saro akiuaga mwili wa bibi yake aliyeuwawa kwa risasi na baba yake kanisani Kibamba” Wengine walishindwa kujiweza na kusaidia baada ya majonzi…

Continue Reading....

JK Amteua Mhandisi (Eng)Bashir Mrindoko kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji

Posted on: October 15, 2013 - jomushi
JK Amteua Mhandisi (Eng)Bashir Mrindoko kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mhandisi (Eng.) Bashir J. Mrindoko kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji kwa kumpandisha cheo kutoka nafasi ya Naibu Katibu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari