Mmoja wa washiriki kutoka Tanzania Hisia (katikati mwenye tisheti nyeusi) akiwa pamoja na washiriki wenzake wa kiume wakifurahia mtoko baada ya kuwashinda washiriki wa kike.…
Continue Reading....Author: jomushi
Serikali Yasaini Mikataba 7 ya Bil. 1.7 ya Uwekezaji Tanzania
*Ni yenye thamani ya dola za marekani bilioni 1.7 SERIKALI ya Tanzania imeingia mikataba saba na makampuni sita ya Kichina yenye thamani ya dola…
Continue Reading....Wanajeshi wa UN Wauwawa Nchini Mali
WANAJESHI wawili wa Kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, wameuawa na wengine sita kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kujitoa mhanga Kaskazini mwa Mali. Raia wa…
Continue Reading....Uswisi Sasa Kurejesha Mabilioni ya Mafisadi Tanzania
SAKATA la vigogo kuficha mabilioni ya shilingi katika benki za Uswisi, limechukua sura mpya baada ya Serikali ya nchi hiyo kutunga sheria inayowabana walioweka fedha…
Continue Reading....Rambirambi Kutoka Ikulu Kifo cha James Kombe
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi…
Continue Reading....Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Kikwete Atua Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpokea Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete baada ya kuwasili mjini Dodoma Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimsalimia Makamu…
Continue Reading....