Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,046

Author: jomushi

Tamasha la Vipaji Kuwakutanisha Vijana kwa Mara ya Kwanza Tanzania

Posted on: November 25, 2013 - jomushi
Tamasha la Vipaji Kuwakutanisha Vijana kwa Mara ya Kwanza Tanzania

Continue Reading....

Abdulrahman Kinana Awasili Wilayani Rungwe kwa Ziara

Posted on: November 25, 2013November 25, 2013 - jomushi
Abdulrahman Kinana Awasili Wilayani Rungwe kwa Ziara

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kushoto akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Ndugu Bw. Crispin Meela katika mji wa…

Continue Reading....

Mama Salma Kikwete Awataka Lindi Kukazania Elimu

Posted on: November 25, 2013November 25, 2013 - jomushi
Mama Salma Kikwete Awataka Lindi Kukazania Elimu

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi WAKAZI mkoani Lindi wametakiwa kusimamia elimu ya watoto wao kwa kufuatilia mahudhuria yao shuleni jambo ambalo litawasaidia katika maisha yao…

Continue Reading....

Pambika na Samsung Yaendelea na Jitihada za Kuboresha Maisha ya Watanzania

Posted on: November 25, 2013 - jomushi
Pambika na Samsung Yaendelea na Jitihada za Kuboresha Maisha ya Watanzania

KATIKA kuhakikihsa inaendelea kuwazawadia wateja wa Samsung wanaonunua bidhaa halisi, promosheni ya Pambika na Samsung leo imefanya droo yake ya pili na kuendelea kuwapa furaha…

Continue Reading....

Kilimanjaro Stars Kuagwa Kesho

Posted on: November 24, 2013 - jomushi
Kilimanjaro Stars Kuagwa Kesho

KIKOSI cha Kilimanjaro Stars kinaagwa kesho (Novemba 25 mwaka huu) tayari kwa safari ya Nairobi, Kenya kushiriki michuano ya Kombe la Chalenji inayoanza kutimua vumbi…

Continue Reading....

JK Atuma Rambirambi Kifo cha Prof. Gabriel Mwaluko

Posted on: November 24, 2013 - jomushi
JK Atuma Rambirambi Kifo cha Prof. Gabriel Mwaluko

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Chuo Kikuu cha St Johnes kilichoko Dodoma kufuatia kifo cha Makamu Mkuu wa Chuo hicho…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari