Tamasha la Waafrika Ujerumani Lafunika!

Bango la tamasha likiwa limebandikwa mahala pake kama kawaida.
Bango la tamasha likiwa limebandikwa mahala pake kama kawaida.
jukwaa la muziki likiwa bado kwenye maandalizi
jukwaa la muziki likiwa bado kwenye maandalizi
Nyomi ilikuwa inaongezeka kadri muda unavyokwenda...
Nyomi ilikuwa inaongezeka kadri muda unavyokwenda…
Ghana!
Ghana!
Waghana nao walikuwepo kuuenzi utamaduni wao
Waghana nao walikuwepo kuuenzi utamaduni wao
Ngoma
Ngoma
Ngoma!
Ngoma!
Mwanadada wa kiafrika akitoa dozi
Mwanadada wa kiafrika akitoa dozi
Kikosi maalum cha ngoma kutoka Afrika Magharibi kikitumbuiza
Kikosi maalum cha ngoma kutoka Afrika Magharibi kikitumbuiza
Banda la Kameruni
Banda la Kameruni
Banda la Madagascar
Banda la Madagascar
Nyama choma!
Nyama choma!
Jambo!
Jambo!
Banda la "Jambo" nalo lilikuwepo, ajili ya kuuza vinywaji na vitafunwa safiii
Banda la “Jambo” nalo lilikuwepo, ajili ya kuuza vinywaji na vitafunwa safiii
Wateja
Wateja
Waafrika wa Brazili pia walikuwepo kuuza Mikia ya Jogoo (cocktails)
Waafrika wa Brazili pia walikuwepo kuuza Mikia ya Jogoo (cocktails)
Mashabiki
Mashabiki
Baadhi ya bidhaa
Baadhi ya bidhaa
mashabiki
mashabiki
mashabiki wakiwa mlango na wengine wakielekea ndani
mashabiki wakiwa mlango na wengine wakielekea ndani
Bango mbele ya lango la kuingilia
Bango mbele ya lango la kuingilia
Bango
Bango

Tamasha hili linafikia tamati leo tarehe 20/7/2014, baada ya kuanza tarehe 17/7/2014. Tamasha hili hufanyika kila mwaka hapa jijini Tuebingen, Ujerumani, ambapo waafrika hutumia fursa hii kuonyesha utamaduni wao kupitia bidhaa mbalimbali, ikiwemo miziki.

 

 

Picha na habari: dev.kisakuzi.com, Tuebingen, Ujerumani

 

 

Related Post