
Pichani ni mwakilishi wa vijana kutoka nchini Uganda, Ms. Faridah Nalunkuma (kulia) akizungumzia tamasha hilo kwa waandishi wa habari. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ukuzaji vipaji vya sanaa na muziki (Unscripted Concert for Africa-Tanzania, UCA-Tz), Emmanuel Mushy.

