Dkt Sheini Azindua barabara ya Mfenesini-Bumbwini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mwakilishi wa ADB Tanzania Toniya
Kandiero,wakikata utepe kufungua Barabara ya
Mfenesini-Bumbwini,iliyojengwa na Kampuni ya Mecco kwa ufadhili wa
Benki ya Dunia kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,ikiwa
shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) Mwakilishi wa ADB Tanzania
Toniya Kandiero,(wa pili kulia) Naibu Waziri wa Mindombinu,Mawasiliano
Issa Haji Gavu,(wa pili kulia) Katibu Mkuu wa Miundombinu
,Mawasiliano,Dk.Juma Malik Akili,(kulia) na Mkuu wa Mkoa wa
Kasakazini Unguja Pembe Juma,(kushoto) wakitembea katika Barabara ya
Mfenesini-Bumbwini baada ya kufunguliwa Rasmi jana,ikiwa ni shamra
shamra ya kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]