
<strong>MTANDAO</strong> wa dev.kisakuzi.com hivi karibuni ulifanya ziara nchini Kenya katika majiji ya Nairobi na Mombasa kwa kutembelea maeneo kadhaa ya majiji hayo maarufu kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali ya kimaendeleo pamoja na kubadilishana matukio hasa kipindi hiki ambapo nchi ya Kenya inaendelea kujiandaa na uchaguzi mkuu. Zifuatazo ni picha anuai ambazo dev.kisakuzi.com ilizipiga kwa ajili ya matukio yaliojiri katika ziara hiyo.








