
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM. Hafla hii imefanyika makao makuu ya CCM Dodoma
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM. Hafla hii imefanyika makao makuu ya CCM Dodoma