Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Matukio Katika Picha
  • Page 139

Category: Matukio Katika Picha

Mbunge Nassari Atembelea Karakana ya Vifaa Tiba Nchini China

Posted on: January 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Mbunge Chadema
Mbunge Nassari Atembelea Karakana ya Vifaa Tiba Nchini China

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa katika moja ya karakana ya kutengeneza vifaa tiba katika mji wa Guangzhou nchini China. Nassari akifanya…

Continue Reading....

Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Wa CHADEMA Zanzibar Salimu Mwalimu Mkoani Arusha.

Posted on: January 13, 2016 - Yohana Chance
Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Wa CHADEMA Zanzibar Salimu Mwalimu Mkoani Arusha.

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Salimu Mwalimu Salimu akifafanua jambo kwa Meya wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro katika ziara yake ya kumtembelea Meya huyo,Kulia…

Continue Reading....

Jinsi Wiki Ilivyomwendea Vizuri Samatta Tangu Anyakue Tuzo

Posted on: January 13, 2016 - Yohana Chance
Jinsi Wiki Ilivyomwendea Vizuri Samatta Tangu Anyakue Tuzo

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta bado yupo kwenye headlines January 11, Samatta…

Continue Reading....

Cheki Picha za Messi Alivyo Twaa Ballor d’Or

Posted on: January 13, 2016 - Yohana Chance
Cheki Picha za Messi Alivyo Twaa Ballor d’Or

January 11 ndio ilikuwa siku ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kutangaza washindi wa tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo ilikuwa…

Continue Reading....

Viongozi Wanaongoza Kwa Kulia Hadharani

Posted on: January 9, 2016January 10, 2016 - Yohana Chance
Viongozi Wanaongoza Kwa Kulia Hadharani

Rais wa Marekani aligonga vichwa vya habari alipotokwa na machozi alipokuwa akiwahimiza Wamarekani wakubali mabadiliko kwenye masharti ya uuzaji wa silaha Marekani. Alizidiwa na hisia…

Continue Reading....

Mbunge Wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari Ageuka Magufuli, Afanya Ziara ya Kushitukiza

Posted on: January 7, 2016January 7, 2016 - Yohana Chance
Mbunge Wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari Ageuka Magufuli, Afanya Ziara ya Kushitukiza

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari Akisikiliza kero za wagonjwa katika Hospitali ya Tengeru , alifika hospitalini hapo ili kujua matatizo yanawakumba wagonjwa, hasa wakina…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari