Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 363

Category: Michezo

FAINALI LIGI YA TAIFA KESHO

Posted on: August 5, 2011August 5, 2011 - jomushi
FAINALI LIGI YA TAIFA KESHO

LIGI ya Taifa hatua ya fainali inaanza Agosti 6 mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, ikishirikisha timu 12 zilizogawanywa katika makundi matatu ya…

Continue Reading....

KOZI YA MAKAMISHNA WA MPIRA WA MIGUU

Posted on: August 5, 2011 - jomushi
KOZI YA MAKAMISHNA WA MPIRA WA MIGUU

KOZI ya makamishna wapya kwa ajili ya Ligi Kuu ya Vodacom, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Taifa na Kombe la Taifa itafanyika ukumbi wa…

Continue Reading....

Azam FC ziarani Uganda, Rwanda

Posted on: August 5, 2011 - jomushi
Azam FC ziarani Uganda, Rwanda

TIMU ya Azam FC inatarajia kuondoka Jumatatu mchana na ndege ya Shirika la Ndege la Uganda kuelekea nchini Uganda na baadae Rwanda kukamilisha ziara yake…

Continue Reading....

RUFANI YA SHINYANGA UNITED YATOLEWA UAMUZI

Posted on: August 4, 2011 - jomushi
RUFANI YA SHINYANGA UNITED YATOLEWA UAMUZI

KAMATI ya Nidhamu na Usuluhishi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mstaafu Alfred Tibagana…

Continue Reading....

Poulsen awaita 20 kuunda Stars

Posted on: August 4, 2011August 4, 2011 - jomushi
Poulsen awaita 20 kuunda Stars

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen ametangaza kikosi cha wachezaji 20 kwa ajili ya mechi ya kirafiki ugenini inayochezwa kwenye tarehe zinazotambuliwa na Shirikisho…

Continue Reading....

Taswa waandaa bonaza la michezo miaka 50 ya uhuru

Posted on: August 4, 2011 - jomushi
Taswa waandaa bonaza la michezo miaka 50 ya uhuru

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimeandaa bonanza maalum la kuwapongeza wanamichezo mbalimbali waliopata kuiletea sifa nchi katika kipindi cha miaka 50…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari