Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 361

Category: Michezo

Timu ya Kamanda Kova yaingia Daraja la Kwanza

Posted on: August 15, 2011 - jomushi
Timu ya Kamanda Kova yaingia Daraja la Kwanza

Na Mwandishi wetu’ LIGI ya Taifa ngazi ya Fainali imemalizika jana kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, huku ikizipa nafasi ya kupanda daraja la kwanza…

Continue Reading....

Kuziona Simba na Yanga Jumatano sh 5,000/-

Posted on: August 15, 2011 - jomushi
Kuziona Simba na Yanga Jumatano sh 5,000/-

Na Mwandishi Wetu, VIINGILIO katika mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya mabingwa watetezi Yanga…

Continue Reading....

Newcastle, Arsenal watoka sare, Bolton yauwa, Leverpool yakwama

Posted on: August 14, 2011August 14, 2011 - jomushi
Newcastle, Arsenal watoka sare, Bolton yauwa, Leverpool yakwama

NEWCASTLE imetoka sare ya 0-0 na Arsenal katika mchezo uliokuwa na kasoro za hapa na pale. Katika mchezo huo mshambuliaji wa Arsenal kutoka Ivory Coast,…

Continue Reading....

Usajili Ligi Daraja la Kwanza Agosti 17

Posted on: August 12, 2011 - jomushi
Usajili Ligi Daraja la Kwanza Agosti 17

USAJILI wa wachezaji wa klabu za Ligi Daraja la Kwanza kwa msimu huu utafanyika baada ya kumalizika Ligi ya Taifa hatua ya fainali inayoendelea hivi…

Continue Reading....

Kamati TFF yamrejesha Mchaki

Posted on: August 12, 2011 - jomushi
Kamati TFF yamrejesha Mchaki

KAMATI ya Uchaguzi ya TFF ilikutana Agosti 10 na 11 mwaka huu kujadili rufani ya Frank Mchaki kupinga uamuzi wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama…

Continue Reading....

Simba na Yanga sasa kuvaana usiku Agosti 17

Posted on: August 12, 2011 - jomushi
Simba na Yanga sasa kuvaana usiku Agosti 17

MECHI ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya mabingwa watetezi Yanga na Makamu Bingwa Simba itachezwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari