Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 290

Category: Michezo

Serengeti Boys wapima umri

Posted on: July 17, 2012 - jomushi
Serengeti Boys wapima umri

*TFF yawapongeza viongozi wapya Yanga Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI 17 wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) wamefanyiwa…

Continue Reading....

Ngorongoro Heroes na Rwanda kuvaana Julai 16

Posted on: July 15, 2012 - jomushi
Ngorongoro Heroes na Rwanda kuvaana Julai 16

TIMU ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 Ngorongoro Heroes itacheza mechi ya kirafiki na Rwanda itakayofanyika Julai 16 mwaka huu kwenye…

Continue Reading....

Leodiger Tenga aongoza maelfu kumzika mwenyekiti wa chama cha Soka Mara

Posted on: July 14, 2012July 14, 2012 - jomushi
Leodiger Tenga aongoza maelfu kumzika mwenyekiti wa chama cha Soka Mara

Na mwandishi wetu Musoma RAIS wa shirikisho la soka hapa Nchini (TFF) Leodiger Tenga ameongoza maelfu ya waombolezaji katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama…

Continue Reading....

Fainali Copa Cocacola zazikutanisha Morogoro na Mwanza

Posted on: July 14, 2012July 14, 2012 - jomushi
Fainali Copa Cocacola zazikutanisha Morogoro na Mwanza

FAINALI ya michuano ya Copa Coca-Cola 2012 inayozikutanisha timu za Mwanza na Morogoro itachezwa kesho (Julai 15 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume,…

Continue Reading....

Viingilio Kombe la Kagame 2012 yatajwa

Posted on: July 12, 2012 - jomushi
Viingilio Kombe la Kagame 2012 yatajwa

Na Mwandishi Wetu VIINGILIO vya chini katika mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza Jumamosi ya Julai 14 mwaka huu vitakuwa sh. 5,000 kwa mechi za…

Continue Reading....

Mwanza na Temeke kuvaana nusu fainali Copa Coca-Cola 2012

Posted on: July 12, 2012July 12, 2012 - jomushi
Mwanza na Temeke kuvaana nusu fainali Copa Coca-Cola 2012

*Maxinsure yaipa Twiga Stars vifaa vya mazoezi Na Mwandishi Wetu TIMU za Temeke na Mwanza zinapambana kesho Julai 13 mwaka huu katika nusu fainali ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari