SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Oktoba 8 mwaka 2014 linaadhimisha miaka 50 ya kujiunga na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).…
Continue Reading....Category: Michezo
Mashindano ya Soka kwa Vijana Taifa Kufanyika Mwanza, Makocha 32 Kunolewa
MASHINDANO ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 12 yatafanyika Desemba mwaka huu jijini Mwanza. Akizungumza wakati wa kutangaza mpango wa programu…
Continue Reading....Kuziona Taifa Stars na Benin Shs 4,000
KIINGILIO cha mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Benin (Squirrels) itakayochezwa Jumapili Oktoba…
Continue Reading....Nyota wa Taifa Stars Watua, Yaingia Kambini
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inaingia kambini Oktoba 6 mwaka huu kujiwinda kwa mechi ya Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa…
Continue Reading....Matokeo Ligi Kuu Tanzania Oktoba 5
Matokeo Ligi Kuu Tanzania Oktoba 5 Mtibwa Sugar- 1 Vs JKT Mgambo- 0 Yanga-2 Vs JKT Ruvu -1
Continue Reading....Uhamiaji Sports Club Yaifungisha Virago Ikulu SC
Na Happiness Shayo – Morogoro TIMU ya soka ya Uhamiaji imeweka historia katika michezo ya SHIMIWI baada ya kuifunga timu ya soka ya Ikulu bao…
Continue Reading....