Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 145

Category: Michezo

Chelsea Yasonga Mbele FA CUP, Yapiga Mtu 2-0

Posted on: January 11, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yasonga Mbele FA CUP, Yapiga Mtu 2-0

Chelsea imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya FA baada ya kuifunga timu ya Scunthorpe United mabao 2-0 yaliyofungwa na Diego Costa pamoja na Hazard Mabingwa…

Continue Reading....

Bale Apiga Hat trik La Liga, Messi Naye Atupia Mbili

Posted on: January 11, 2016 - Yohana Chance
Bale Apiga Hat trik La Liga, Messi Naye Atupia Mbili

Mchezaji Gareth Bale alifunga mabao matatu na kumfanya kocha mpya wa kilabu ya Real Madrid Zinedine Zidane kupata ushindi wa kwanza katika kazi yake dhidi…

Continue Reading....

Yanga Simba Chali Mapinduzi Cup, Mtibwa Akabidhiwa URA

Posted on: January 11, 2016 - Yohana Chance
Yanga Simba Chali Mapinduzi Cup, Mtibwa Akabidhiwa URA

YANGA SC imeaga michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa na URA ya Uganda kwa penalti 4-3, kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika…

Continue Reading....

Simba SC yamtangaza Kocha Mpya Raia wa Uganda

Posted on: January 11, 2016 - Yohana Chance
Simba SC yamtangaza Kocha Mpya Raia wa Uganda

MGANDA, Jackson Mayanja ameteuliwa kuwa Kocha Msaidizi wa Simba SC, kufuatia kuondoka kwa Suleiman Matola miezi miwili iliyopita. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano…

Continue Reading....

Samatta Apewa Unahodha Taifa Stars

Posted on: January 11, 2016 - Yohana Chance
Samatta Apewa Unahodha Taifa Stars

Siku chache baada ya mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta kutangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa…

Continue Reading....

Liverpool Yabanwa Mbavu na Exeter City FA Cup

Posted on: January 9, 2016January 9, 2016 - Yohana Chance
Liverpool Yabanwa Mbavu na Exeter City FA Cup

Mechi za Raundi ya 3 ya Kombe la FA , ambalo kwa sasa linaitwa Emirates FA Cup kwa kuzikutanisha Klabu za Ligi Kuu England na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari