Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 136

Category: Michezo

Manchester United Kuvuna Mamilioni Ndani ya Miezi 12

Posted on: January 21, 2016January 21, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Kuvuna Mamilioni Ndani ya Miezi 12

Klabu ya Manchester United huenda ikawa klabu itakayokuwa ikipokea pesa nyingi zaidi duniani katika kipindi cha miezi 12 ijayo. Kwa mujibu wa orodha ya mapato…

Continue Reading....

Liverpool na Tottenham Zasonga Mbele Michuano ya FA

Posted on: January 21, 2016 - Yohana Chance
Liverpool na Tottenham Zasonga Mbele Michuano ya FA

Usiku wa January 20 klabu ya Liverpool ilifanikiwa kusonga mbele kwenye michuano ya FC Cup baada ya kuifunga klabu ya Exeter kwa bao 3-0 na…

Continue Reading....

Momba Kuzichapa na Mazola Machi 5 Huko Pwani

Posted on: January 21, 2016 - Yohana Chance
Momba Kuzichapa na Mazola Machi 5 Huko Pwani

MABONDIA Sadiq Momba na Baina Mazola wamesaini mkataba wa kuzipiga march 5 katika ukumbi wa Tasuba Bagamoyo Mkoa wa Pwani uzito kwa kg 59 Akizungumza…

Continue Reading....

Samatta Atua TP Mazembe Kutoa Mkono Wa Kwaheri

Posted on: January 21, 2016 - Yohana Chance
Samatta Atua TP Mazembe Kutoa Mkono Wa Kwaheri

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta alitarajia kuondoka asubuhi ya jana kwenda Lubumbashi, Jamhuri ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kujiunga na…

Continue Reading....

Simba Sc Yaanza Kuota Ubingwa, Azam Yapanda Kileleni

Posted on: January 21, 2016January 21, 2016 - Yohana Chance
Simba Sc Yaanza Kuota Ubingwa, Azam Yapanda Kileleni

Klabu ya Simba imefanikiwa kuwa na matokeo mazuri tangu kikosi hicho kiwe chini ya Kocha raia wa Uganda Jackson Mayanja, Baada ya jana kuilaza JKT…

Continue Reading....

Rwanda Yatinga Robo Fainali Michuano ya CHAN

Posted on: January 21, 2016 - Yohana Chance
Rwanda Yatinga Robo Fainali Michuano ya CHAN

Rwanda imekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa robofainali ya michuano ya taifa bingwa Afrika kwa wachezaji wa ndani baada ya kuilaza Gabon. Rwanda, ambao ni…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari