Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 91

Category: Habari za Kimataifa

Wakristo Duniani kote Wanaadhimisha Sikukuu ya Krismasi.

Posted on: December 26, 2012December 26, 2012 - jomushi
Wakristo Duniani kote  Wanaadhimisha Sikukuu ya Krismasi.

MAELFU ya watu wamekusanyika katika mji wa Bethlehem kwenye Mamlaka ya Wapalestina kusheherekea sikukuu hiyo. Mji huo unaaminika kuwa ndiko pahala alikozaliwa masiha bwana yesu…

Continue Reading....

Mandela Kusalia Hospitalini Krismasi

Posted on: December 25, 2012December 25, 2012 - jomushi
Mandela Kusalia Hospitalini Krismasi

Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Nelson Mandela atasalia hospitalini msimu huu wa Krismasi. Bwana Mandela ambaye ni rais mweusi…

Continue Reading....

Makaburi zaidi yavunjwa Timbuktu

Posted on: December 24, 2012 - jomushi
Makaburi zaidi yavunjwa Timbuktu

Taarifa kutoka kaskazini mwa Mali zinaeleza kuwa wapiganaji wa Kiislamu wamevunja makaburi kadha ya kale katika mji wa Timbuktu. Wapiganaji wax Kiislamu nje ya Timbuktu…

Continue Reading....

Wapiganaji wa CAR wasonga mbele

Posted on: December 24, 2012December 24, 2012 - jomushi
Wapiganaji wa CAR wasonga mbele

Wapiganaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wameuteka mji wa Bambari, mji wa tatu kwa ukubwa. Huo ni mji wa sita kutekwa na wapiganaji hao…

Continue Reading....

Baragoi Kenya wavamiwa na kuporwa mifugo

Posted on: December 23, 2012December 23, 2012 - jomushi
Baragoi Kenya wavamiwa na kuporwa mifugo

HABARI kutoka Kenya zinasema watu wanaotuhumiwa kuwa majambazi wamevamia kijiji kimoja karibu na mji wa Baragoi, kaskazini magharibi mwa Kenya na kuiba mamia ya mifugo.…

Continue Reading....

Ndege ya UN yashambuliwa Sudan Kusini

Posted on: December 22, 2012December 22, 2012 - jomushi
Ndege ya UN yashambuliwa Sudan Kusini

UMOJA wa Mataifa umesema helicopta kutoka kwa kikosi chake cha kutunza amani Sudan Kusini imeangusha na jeshi la nchi hiyo na kuwaua watu wanne waliokuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari