Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 57

Category: Habari za Kimataifa

M23 Kusitisha Mapigano, Wachina Wakamatwa na Meno ya Tembo Tanzania

Posted on: November 3, 2013 - jomushi
M23 Kusitisha Mapigano, Wachina Wakamatwa na Meno ya Tembo Tanzania

KIONGOZI wa wapiganaji wa kundi la M23 Mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo ametangaza kuwa watasitisha mapigano katika vita vyao na Jeshi la Serikali.…

Continue Reading....

Kiongozi wa Taliban Auawa Nchini Pakistan

Posted on: November 2, 2013 - jomushi
Kiongozi wa Taliban Auawa Nchini Pakistan

SHAMBULIZI la ndege ya Marekani inayoruka bila rubani limefanikiwa kumuuwa kiongozi wa Taliban, Hakimullah Mehsud nchini Pakistan. Mehsud alitwaa madaraka baada ya mtangulizi wake kuuawa…

Continue Reading....

Basi ‘Laigonga’ Treni Kenya, 12 Wafariki Dunia

Posted on: October 31, 2013 - jomushi
Basi ‘Laigonga’ Treni Kenya, 12 Wafariki Dunia

WATU 12 wamefariki dunia baada ya treni ya abiria kuligonga basi lililokuwa likivuka reli jijini Nairobi, Kenya. Shirika la Msalaba Mwekundu la Kenya limesema watu…

Continue Reading....

Prof Kaimenyi Ataka Kubadilishana Matokeo ya Utafiti

Posted on: October 30, 2013 - jomushi
Prof Kaimenyi Ataka Kubadilishana Matokeo ya Utafiti

Na Anne Kiruku, EANA, Arusha WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia wa Kenya, Profesa Jacob Kaimenyi amewataka washiriki wa mkutano wa mwaka huu wa Jukwaa…

Continue Reading....

Aibu Kubwa kwa Serikali ya Kenya (Angalia Video Ujionee Mwenyewe)

Posted on: October 25, 2013October 25, 2013 - admin
Post Tags: aibu, documentary, Kenya, kubwa, serikali ya kenya, westgate
Aibu Kubwa kwa Serikali ya Kenya (Angalia Video Ujionee Mwenyewe)

Continue Reading....

Serikali ya Kabila Kumzika Tena Mobutu Sese Seko Nchini Congo

Posted on: October 24, 2013 - jomushi
Serikali ya Kabila Kumzika Tena Mobutu Sese Seko Nchini Congo

SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, imesema itahamisha mabaki ya mwili wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mobutu Sese Seko kufuatia makubaliano na familia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari