Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 164

Category: Habari za Kimataifa

Watu 7 wauwawa Syria, ukandamizaji raia waendelea

Posted on: August 25, 2011August 25, 2011 - jomushi
Watu 7 wauwawa Syria, ukandamizaji raia waendelea

WANAHARAKATI wa kutetea haki za binadamu nchini Syria wanasema maofisa wa vikosi vya usalama wamewaua watu saba, akiwemo mwanamke mmoja aliyekufa kutokana na mateso. Watu…

Continue Reading....

Umoja wa Ulaya kuisaidia Libya matibabu

Posted on: August 25, 2011August 25, 2011 - jomushi
Umoja wa Ulaya kuisaidia Libya matibabu

UMOJA wa Ulaya umesema uko tayari kupeleka msaada wa matibabu nchini Libya. Utapeleka mahitaji yanayotakika kwa dharura katika hospitali nchini humo, kuwasaidia raia wengi waliojeruhiwa…

Continue Reading....

Maofisa wa Polisi Burkina Faso wafungwa

Posted on: August 24, 2011August 25, 2011 - jomushi
Maofisa wa Polisi Burkina Faso wafungwa

MAOFISA polisi watatu wametiwa gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika kwenye mauaji ya mwanafunzi kutoka Burkina Faso mwezi Februari, na kuchochea ghasia kwa…

Continue Reading....

Joice ataka kifo cha mumewe kichunguzwe

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Joice ataka kifo cha mumewe kichunguzwe

Makamu wa Rais wa Zimbabwe Joice Maimu ametoa wito wa kufanywa uchunguzi wa kifo cha mume wake Solomon kilichotokea wiki iliyopita kwenye shamba lao. Aliyekuwa…

Continue Reading....

Kesi dhidi ya Strauss-Kahn yafutwa

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Kesi dhidi ya Strauss-Kahn yafutwa

JAJI wa Mahakama mjini New York amefuta kesi ya dhuluma za ngono dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani, Dominique Strauss-Kahn. Hatua hiyo…

Continue Reading....

Gaddafi: Aluta Kontinua, nitapambana hadi kifo

Posted on: August 24, 2011August 24, 2011 - jomushi
Gaddafi: Aluta Kontinua, nitapambana hadi kifo

KANALI Muammar Gaddafi ameapa kupigana na waasi hadi kifo au ushindi, ripoti zimesema, baada ya waasi kudhibiti makazi yake mjini Tripoli. Televisheni inayomuunga mkono Kanali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari