KINARA wa muungano upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amewashauri wafuasi wake kususia kazi siku ya Jumatatu kama njia ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyikia Jumanne…
Continue Reading....Category: Habari za Kimataifa
Paul Kagame Ashinda Uchaguzi kwa Asilimia 98.8
RAIS wa Rwanda Paul Kagame amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa wiki iliopita na tume ya uchaguzi nchini humo kulingana na habari zilizotolewa. Taarifa zinasema…
Continue Reading....Odinga Ayapinga Matokeo ya Urais Yanayoendelea Kutangazwa Kenya
MGOMBEA urais wa muungano wa upinzani nchini Kenya National Super Alliance (Nasa) Raila Odinga amepinga matokeo ambayo yanaendelea kutangazwa na tume ya uchaguzi nchini…
Continue Reading....TAASISI ZA KIFEDHA ZASHAURIWA KUWA NA MASHARTI NAFUU YA UTOAJI MIKOPO

MKUU wa Mkoa wa Lindi Mhe Godfrey Zambi akinunua moja ya mkoba uliotengenezwa na kikundi cha Jauki kwenye banda la Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa mara baada ya…
Continue Reading....Israel Yaweka Kamera za Ulinzi eneo Takatifu Jerusalem
ISRAEL imeweka kamera eneo la kuingilia katika uzio wa Msikiti wa Al-Aqsa katika Mji mkongwe wa Jeruslem. Hatua hiyo imechukuliea wakati mvutano mkubwa kuhusiana…
Continue Reading....Bunge la Marekani Laridhia Vikwazo Vipya Kuiadhibu Urusi
VIONGOZI kutoka vyama vyote katika Bunge la Marekani wamekubaliana kuhusu sheria ambayo inaruhusu vikwazo vipya kuiadhibu Urusi kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani. Sheria hiyo pia…
Continue Reading....