Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa

Category: Habari za Kimataifa

Raila Odinga ‘aitisha’ mgomo wa wafuasi kupinga matokeo ya uchaguzi

Posted on: August 14, 2017 - admin
Raila Odinga ‘aitisha’ mgomo wa wafuasi kupinga matokeo ya uchaguzi

KINARA wa muungano upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amewashauri wafuasi wake kususia kazi siku ya Jumatatu kama njia ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyikia Jumanne…

Continue Reading....

Paul Kagame Ashinda Uchaguzi kwa Asilimia 98.8

Posted on: August 9, 2017 - jomushi
Paul Kagame Ashinda Uchaguzi kwa Asilimia 98.8

RAIS wa Rwanda Paul Kagame amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa wiki iliopita na tume ya uchaguzi nchini humo kulingana na habari zilizotolewa. Taarifa zinasema…

Continue Reading....

Odinga Ayapinga Matokeo ya Urais Yanayoendelea Kutangazwa Kenya

Posted on: August 9, 2017 - jomushi
Post Tags: Kenya
Odinga Ayapinga Matokeo ya Urais Yanayoendelea Kutangazwa Kenya

  MGOMBEA urais wa muungano wa upinzani nchini Kenya National Super Alliance (Nasa) Raila Odinga amepinga matokeo ambayo yanaendelea kutangazwa na tume ya uchaguzi nchini…

Continue Reading....

TAASISI ZA KIFEDHA ZASHAURIWA KUWA NA MASHARTI NAFUU YA UTOAJI MIKOPO

Posted on: August 3, 2017August 3, 2017 - jomushi
TAASISI ZA KIFEDHA ZASHAURIWA KUWA NA MASHARTI NAFUU YA UTOAJI MIKOPO

MKUU wa Mkoa wa Lindi Mhe Godfrey Zambi akinunua moja ya mkoba uliotengenezwa na kikundi cha Jauki kwenye banda la Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa mara baada ya…

Continue Reading....

Israel Yaweka Kamera za Ulinzi eneo Takatifu Jerusalem

Posted on: July 23, 2017 - jomushi
Israel Yaweka Kamera za Ulinzi eneo Takatifu Jerusalem

  ISRAEL imeweka kamera eneo la kuingilia katika uzio wa Msikiti wa Al-Aqsa katika Mji mkongwe wa Jeruslem. Hatua hiyo imechukuliea wakati mvutano mkubwa kuhusiana…

Continue Reading....

Bunge la Marekani Laridhia Vikwazo Vipya Kuiadhibu Urusi

Posted on: July 23, 2017 - jomushi
Bunge la Marekani Laridhia Vikwazo Vipya Kuiadhibu Urusi

VIONGOZI kutoka vyama vyote katika Bunge la Marekani wamekubaliana kuhusu sheria ambayo inaruhusu vikwazo vipya kuiadhibu Urusi kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani. Sheria hiyo pia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
thehabari