Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Burudani
  • Page 25

Category: Burudani

Mwanamuziki Mos Def Apewa Siku 14 Kuondoka Afrika Kusini

Posted on: January 17, 2016 - Yohana Chance
Mwanamuziki Mos Def Apewa Siku 14 Kuondoka Afrika Kusini

Mwanamuziki wa muziki wa Rap kutoka Marekani kwa jina maarufu Mos Def ameamrishwa kuondoka Afrika Kusini katika kipindi cha siku 14 baada ya kukamatwa kwa…

Continue Reading....

Wasanii Watakao Wania Tuzo ya Oscar Wapatikana

Posted on: January 16, 2016 - Yohana Chance
Wasanii Watakao Wania Tuzo ya Oscar Wapatikana

Waigizaji na waelekezi wa filamu watakaopigania tuzo kuu za sanaa duniani za Oscar wametangazwa na kwa mwaka wa pili hakuna watu weusi walioteuliwa. Filamu ya…

Continue Reading....

Saratani Yasababisha Kifo Cha Mume wa Celine Dion

Posted on: January 15, 2016 - Yohana Chance
Saratani Yasababisha Kifo Cha Mume wa Celine Dion

Rene Angelil, mume wa mwanamuziki mashuhuri duniani Celine Dion, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, mwanamuziki huyo ametangaza. Bw Angelil, aliyemuoa Dion mwaka…

Continue Reading....

Filamu ya Wema ni Akiba Kuingia Sokoni

Posted on: January 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Filamu
Filamu ya Wema ni Akiba Kuingia Sokoni

 Filamu ya Wema ni akiba yake mwanamama Jennifer Mgendi imekamilika. Akiongea na blogu hii Jennifer amesema filamu hiyo ambayo imewashirikisha wasanii na watumishi mbalimbali ni…

Continue Reading....

Filamu ya Revenant imepata tuzo Kwa Ubora Wa Kuigiza

Posted on: January 13, 2016 - Yohana Chance
Filamu ya Revenant imepata tuzo Kwa Ubora Wa Kuigiza

Filamu ya Revenant imepata tuzo katika hafla ya mwaka huu ya Golden Globes baada ya kushinda taji kuu la filamu yenye mchezo bora wa kuigiza.…

Continue Reading....

David Bowie Aaga Dunia Kwa Kusumbuliwa na Saratani

Posted on: January 12, 2016 - Yohana Chance
David Bowie Aaga Dunia Kwa Kusumbuliwa na Saratani

Mwimbaji maarufu David Bowie, ameaga dunia akiwa na umri miaka 69, baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa saratani. Mwanawe Duncan Jones amethibitisha kifo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari