*Watu wazima kulipa 2500/-, watoto 500/- *Tiketi za kupaki magari madogo 4000/-, maroli ni 40000/- MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imetangaza viingilio vipya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Mtangamano EAC muhimu vita dhidi ya Silaha Haramu
Na Mark Mugisha, EANA-Arusha KUIMARISHA mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ni njia pekee kwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo ya kujitoa katika mipaka…
Continue Reading....Twiga Bancorp yanyakuwa tuzo ya dhahabu utoaji huduma bora
Afisa Mtendaji Mkuu wa Twiga Bancorp, Hussein Mbululo (kulia) akipokea Tuzo ya utoaji bora wa huduma ijulikanayo kama ‘Century International Gold Quality ERA Award’, kutoka…
Continue Reading....Mahakama Kuu yawaonya madaktari kuhusu mgomo
Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kitengo cha kazi leo kimetoa onyo kwa Chama cha Madaktari nchini (MAT) kuzingatia amri ya Mahakama hiyo iliyotolewa…
Continue Reading....Waislamu wamng’ang’ania Dk Ndalichako
Na Shomari Binda, wa Binda News-Musoma BARAZA Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, limeonya vikali kitendo cha Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani…
Continue Reading....Kituo cha afya chakatiwa umeme, wajawazito wajifungua na chemli
Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Kishapu KITUO cha Afya kilichopo Kata ya Songwa, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga kimekatiwa umeme kwa takribani miezi saba sasa kikidaiwa bili…
Continue Reading....