Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 919

Category: Habari za Nyumbani

Ulimboka apelekwa A. Kusini

Posted on: July 1, 2012 - Rungwe Jr.
Ulimboka apelekwa A. Kusini

Hatimaye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka amesafirishwa jana, kwenda nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi baada ya baadhi ya vipimo kukosekana…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Tanzania awataka wajasiriamali kuwa makini

Posted on: June 30, 2012June 30, 2012 - jomushi
Waziri Mkuu Tanzania awataka wajasiriamali kuwa makini

Na Mwandishi wetu WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewataka wajasiriamali wa kati na wadogo nchini wawe waangalifu na makini katika biashara wanazopanga kuzifanya kama kweli wanataka…

Continue Reading....

Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa kiislam yaunga mkono kauli ya Mufti

Posted on: June 30, 2012June 30, 2012 - jomushi
Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa kiislam yaunga mkono kauli ya Mufti

Na. Mwandishi wetu Taasisi ya masheikh na wanazuoni wa Kiislamu Tanzania imeunga mkono kauli iliyotolewa hivi karibuni na Sheikh mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban…

Continue Reading....

Mahakama ya Kadhi sasa kuanzishwa wakati wowote asema Pinda

Posted on: June 30, 2012June 30, 2012 - Rungwe Jr.
Mahakama ya Kadhi sasa kuanzishwa wakati wowote asema Pinda

Serikali imesema uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi itakayoshughulikia migogoro na masuala mbalimbali ya usatawi wa Waislamu nchini umefikia katika hatua nzuri. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,…

Continue Reading....

Dk.Ulimboka hali mbaya

Posted on: June 30, 2012 - Rungwe Jr.
Dk.Ulimboka hali mbaya

Hali ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka ni mbaya na sasa madaktari wanatafuta Dola za Marekani 40,000 (Sh. milioni 63.07) ili…

Continue Reading....

Dk Ulimboka ana siri nzito, kuanika kila kitu baadaye, ataka kwa sasa apumzike

Posted on: June 30, 2012 - jomushi
Dk Ulimboka ana siri nzito, kuanika kila kitu baadaye, ataka kwa sasa apumzike

ASEMA ATAANIKA KILA KITU BAADAYE, ASEMA ACHWE APUMZIKE, MKUU WA JOPO LA MADAKTARI WANAOMTIBU ASEMA ALING’OLEWA KUCHA, MENO MAWILI NA KUPATA MTIKISIKO WA UBONGO MWENYEKITI…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari