Na Shomari Binda Musoma, Uanzishwaji wa benki itakayokuwa ikitoa mikopo yenye masharti nafuu na isiyo na riba kubwa kwa vijana imedaiwa kuwa itakuwa ndio suruhisho…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Amakweli duniani “Hujafa…hujaumbika”
Na Devota Mwachang’a BEATRICE Shimende Kantimbo (48) anaomba msaada wa pesa kwa ajiri ya matibabu ya maradhi ambayo vipimo vya kitabibu vimegundua kuwa ni matende…
Continue Reading....Watendaji wa vijiji kuwasaka wazazi wanaowaficha watoto wenye ulemavu
Na Mwandishi Wetu, Same SERIKALI wilayani Same mkoani Kilimanjaro imewataka watendaji wa kata na vijiji kuwasaka wazazi wanaoendeleza vitendo vya kikatili vya kuwaficha watoto wenye…
Continue Reading....Wanafunzi wa darasa la tatu Korogwe wasomea uchochoroni
Na Joachim Mushi, Korogwe WANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Silabu iliyopo Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga wanasomea kwenye uchochoro unaotenganisha kati…
Continue Reading....Kamata kamata ya wezi kazi za wasanii Dodoma
Mkurungezi wa Kampuni ya MSAMA PROMOTION, Alex Msama pichani mwenye fulana akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) CD za video na Audio za muziki wa…
Continue Reading....Wasafirishaji mizigo EAC wahofia gharama na urasimu
Na James Gashumba, EANA KUMEKUWEPO na maendeleo makubwa katika kupunguza vikwazo vya kibiashara lakini gharama kubwa za usafirishaji zinaibuka kama kikwazo kipya katika kufanya biashara…
Continue Reading....