Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 863

Category: Habari za Nyumbani

Pinda Awataka WanaCCM Kutupilia Mbali Uhasama wa Uchaguzi Uliopita

Posted on: October 1, 2012 - jomushi
Pinda Awataka WanaCCM Kutupilia Mbali Uhasama wa Uchaguzi Uliopita

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaogombea nafasi mbalimbali za uongozi wasiligeuze suala la uchaguzi kuwa ni la kufa na…

Continue Reading....

JK Sasa Ziarani Marekani na Canada

Posted on: October 1, 2012 - jomushi
JK Sasa Ziarani Marekani na Canada

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete anaanza Ziara ya Kikazi ya Marekani na Ziara Rasmi ya Kiserikali ya Canada…

Continue Reading....

TANESCO Yawanasa Saba Waliojiunganishia Umeme Kinyemela Hai

Posted on: October 1, 2012 - jomushi
TANESCO Yawanasa Saba Waliojiunganishia Umeme Kinyemela Hai

Na Mwandishi Wetu, Hai SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) linawashikilia watu saba kutoka Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, kwa tuhuma za kujiunganishia umeme kinyume cha…

Continue Reading....

TheHabari Yatembelea Ofisi za CHAUMMA!

Posted on: October 1, 2012October 1, 2012 - Rungwe Jr.

Picha ya juu:Mwenyekiti wa CHAUMMA, Mh. Wallace Mayunga akieleza mikakati na mipango ya chama kwa Mhariri ndani ya miezi mitatu ijayo Picha ya Kati: Mh.…

Continue Reading....

JK aagana na Mabalozi wa Iran na Cuba

Posted on: September 28, 2012September 28, 2012 - jomushi
JK aagana na Mabalozi wa Iran na Cuba

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Iran nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Mohsen Movahhedi Ghomi Septemba 28, 2012 Ikulu Dar es salaam

Continue Reading....

BASATA Waitaka Sanaa na Utamaduni vitambuliwe KiKatiba

Posted on: September 28, 2012September 28, 2012 - jomushi
BASATA Waitaka Sanaa  na Utamaduni vitambuliwe KiKatiba

WASANII wamepewa changamoto ya kujitokeza kwa wingi katika kutoa maoni yao juu ya uundaji wa Katiba mpya ili fani yao iweze kutambulika kisheria. Kauli hiyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari