Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 855

Category: Habari za Nyumbani

Watanzania Watakiwa Kuchangia Ujenzi Kituo cha Kuibua Vipaji

Posted on: October 12, 2012 - jomushi
Watanzania Watakiwa Kuchangia Ujenzi Kituo cha Kuibua Vipaji

Na Aron Msigwa, Maelezo-Dar es Salaam WITO umetolewa kwa Watanzania kujenga tabia ya kuchangia ujenzi wa miradi mbalimbali ya kulea na kukuza vipaji vya watoto…

Continue Reading....

Waziri wa Fedha Tanzania, Mgimwa Katika Mazungumzo na Viongozi wa Benki ya Dunia

Posted on: October 12, 2012October 12, 2012 - jomushi
Waziri wa Fedha Tanzania, Mgimwa Katika Mazungumzo na Viongozi wa Benki ya Dunia

Mkutano wa ‘Caucus’ Wafanyika Mikutano ya IMF inaendelea, wakati huo huo mikutano mingine ikichukua nafasi yake na kusaidia kujadili mambo ambayo yanaweza yakalisaidia Bara la…

Continue Reading....

THT Sasa Yaanzisha Darasa la Muziki na Sauti Kila Mwezi

Posted on: October 12, 2012October 12, 2012 - jomushi
THT Sasa Yaanzisha Darasa la Muziki na Sauti Kila Mwezi

 Mwalimu Kibaso ambaye anafundisha masuala ya Sauti (Vocal) akiwapa mazoezi ya viungo vijana waliojiunga katika darasa la muziki linaloendeshwa na Tanzania House of Talent (THT)…

Continue Reading....

Wabunge Waibana Serikali, Ni Kuhusu Kuzagaa kwa ARVs Feki

Posted on: October 11, 2012 - jomushi
Wabunge Waibana Serikali, Ni Kuhusu Kuzagaa kwa ARVs Feki

Na Magreth Kinabo, Maelezo KAMATI ya Bunge inayoshughulikia masuala ya Ukimwi imeishauri Serikali kutoa tamko la kuelezea ni hatua gani inaendelea kuchukua baada ya kusimamisha…

Continue Reading....

CHAVITA Mkuranga Waomba Kusaidiwa Kielimu

Posted on: October 11, 2012 - jomushi
CHAVITA Mkuranga Waomba Kusaidiwa Kielimu

Na Joachim Mushi, Mkuranga CHAMA cha Viziwi Wilaya ya Mkuranga (CHAVITA), kimeiomba Serikali na wadau wengine kuisaidia jamii hiyo ya walemavu iweze kupata fursa za…

Continue Reading....

Dk. Shein Apokea Ripoti ya Mv. Skagit, Ahaidi Kuchukua Hatua..!

Posted on: October 11, 2012 - jomushi
Dk. Shein Apokea Ripoti ya Mv. Skagit, Ahaidi Kuchukua Hatua..!

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amekabidhiwa ripoti ya kuzama kwa Meli ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari