Na Aron Msigwa, Maelezo-Dar es Salaam WITO umetolewa kwa Watanzania kujenga tabia ya kuchangia ujenzi wa miradi mbalimbali ya kulea na kukuza vipaji vya watoto…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Waziri wa Fedha Tanzania, Mgimwa Katika Mazungumzo na Viongozi wa Benki ya Dunia
Mkutano wa ‘Caucus’ Wafanyika Mikutano ya IMF inaendelea, wakati huo huo mikutano mingine ikichukua nafasi yake na kusaidia kujadili mambo ambayo yanaweza yakalisaidia Bara la…
Continue Reading....THT Sasa Yaanzisha Darasa la Muziki na Sauti Kila Mwezi
Mwalimu Kibaso ambaye anafundisha masuala ya Sauti (Vocal) akiwapa mazoezi ya viungo vijana waliojiunga katika darasa la muziki linaloendeshwa na Tanzania House of Talent (THT)…
Continue Reading....Wabunge Waibana Serikali, Ni Kuhusu Kuzagaa kwa ARVs Feki
Na Magreth Kinabo, Maelezo KAMATI ya Bunge inayoshughulikia masuala ya Ukimwi imeishauri Serikali kutoa tamko la kuelezea ni hatua gani inaendelea kuchukua baada ya kusimamisha…
Continue Reading....CHAVITA Mkuranga Waomba Kusaidiwa Kielimu
Na Joachim Mushi, Mkuranga CHAMA cha Viziwi Wilaya ya Mkuranga (CHAVITA), kimeiomba Serikali na wadau wengine kuisaidia jamii hiyo ya walemavu iweze kupata fursa za…
Continue Reading....Dk. Shein Apokea Ripoti ya Mv. Skagit, Ahaidi Kuchukua Hatua..!
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amekabidhiwa ripoti ya kuzama kwa Meli ya…
Continue Reading....