Na Mwandishi Wetu, Zanzibar HALI ya hewa imechafuka Mjini Zanzibar baada ya wafuasi wa kikundi cha Uamsho kufanya maandamano huku wakichoma moto na kuvamia baadhi…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Jeshi la Polisi Lamtia Mbaroni Shekh Ponda Issa Ponda, Wafuasi Wake Waandamana
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Katibu wa Jumuiya tajwa hapo juu maarufu kama PONDA ISSA PONDA kwa makosa mbali…
Continue Reading....Push Mobile Limited Yaingia Mkataba na Kajunason Blog
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Push Mobile Limited, Bw. Freddie Manento akibadirishana mkataba na Mkurungenzi wa Kajunason Blog, Bw. Cathbert Angelo Kajuna mara baada ya…
Continue Reading....Tanzania Kushiriki Maadhimisho ya Miaka 67 ya Umoja wa Mataifa
Na Mwandishi Wetu TANZANIA inaungana na nchi nyingine mbalimbali duniani kuadhimisha miaka 67 ya Umoja wa Mataifa ambapo kutakuwa na shughuli anuai zinazoanza leo Oktoba…
Continue Reading....Wanahabari Musoma Wapewa Mbinu za Ufuatiliaji Sera na Fedha Serikalini
Na Shomari Binda, Musoma WAANDISHI wa habari wametakiwa kujenga tabia ya kufuatilia bajeti na sera za halmashauri, ikiwa ni pamoja na kufuatilia miradi inayotekelezwa kwenye…
Continue Reading....