Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 847

Category: Habari za Nyumbani

Dk. Shein Amaliza Mzozo Kati ya Wanakijiji wa Chwaka na Marumbi

Posted on: October 19, 2012 - jomushi
Dk. Shein Amaliza Mzozo Kati ya Wanakijiji wa Chwaka na Marumbi

Na. Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na wananchi wa kijiji…

Continue Reading....

FFU Achinjwa Vurugu za Zanzibar

Posted on: October 19, 2012 - jomushi
FFU Achinjwa Vurugu za Zanzibar

*Polisi Yamtuhumu Uamsho, Yatangaza Kuwasaka Wauaji Popote, Vurugu Zaendelea MACHAFUKO yanayoambatana na ghasia, yamechukua sura mpya, baada ya askari mmoja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia…

Continue Reading....

UNDP Yaipongeza Tanzania kwa Jitihada za Maendeleo

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
UNDP Yaipongeza Tanzania kwa Jitihada za Maendeleo

Na Mwandishi Wetu UMOJA wa Mataifa umeanza kuadhimisha wiki mahsusi kwa ajili ya Umoja huo kwa kufanya shughuli mbalimbali ambapo nchini Tanzania taasisi za Umoja…

Continue Reading....

Kashfa Yaibuka NHC, Bilioni 25 Zatumika Nje ya Utaratibu

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
Kashfa Yaibuka NHC, Bilioni 25 Zatumika Nje ya Utaratibu

Na Magreth Kinabo- MAELEZO KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imelionya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuacha mtindo wa kutumia…

Continue Reading....

Dk Ulimboka: Mfanyakazi Ikulu Alihusika Kuniteka

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
Dk Ulimboka: Mfanyakazi Ikulu Alihusika Kuniteka

HATIMAYE Kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk Steven Ulimboka ameamua kuvunja ukimya, baada ya kumtaja kinara wa tukio la kutekwa kwake na kisha kutupwa…

Continue Reading....

UNICEF Yaishauri Tanzania Juu ya Sera ya Elimu

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
UNICEF Yaishauri Tanzania Juu ya Sera ya Elimu

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuwa na sera ya mpya ya elimu kwa kuwa sera iliyopo imepitwa na wakati na inasababisha mikanganyiko. Mtaalamu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari