Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 827

Category: Habari za Nyumbani

Mkurugenzi Mkuu wa BBC Ajiuzulu

Posted on: November 11, 2012 - jomushi
Mkurugenzi Mkuu wa BBC Ajiuzulu

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Habari, BBC, George Entwistle amejiuzulu wadhifa huo. George Entwistle amejiuzulu kama Mkurugenzi BBC kwa kile kufanyika makosa katika moja ya…

Continue Reading....

Kikwete Amtumia Salamu za Rambirambi Sheikh Twakali Karago

Posted on: November 11, 2012 - jomushi
Kikwete Amtumia Salamu za Rambirambi Sheikh Twakali Karago

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Kigoma, Ndugu…

Continue Reading....

Rais Kikwete Ashiriki Mazishi ya Askofu Aloysius Balina

Posted on: November 11, 2012 - jomushi
Rais Kikwete Ashiriki Mazishi ya Askofu Aloysius Balina

Na Mwandishi Maalumu, Shinyanga RAIS wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameungana na mamia kwa mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki kumzika Askofu wa Jimbo Katoliki…

Continue Reading....

Asante Sana Waziri Mwakyembe…Naelekea Mjini Wala si Kigoma

Posted on: November 10, 2012 - jomushi
Asante Sana Waziri Mwakyembe…Naelekea Mjini Wala si Kigoma

Continue Reading....

Mashindano ya Gofu Johnnie Walker Waitara Yafanyika Lugalo Dar es Salaam

Posted on: November 10, 2012November 10, 2012 - jomushi
Mashindano ya Gofu Johnnie Walker Waitara Yafanyika Lugalo Dar es Salaam

 Mzee Nicolaus Silwinga akijiandaa kupiga kipira katika hall namba moja wakati wa mashindano ya kuwania kombe la John Walker Waitara yaliyofanyika katika viwanja vya Gofu…

Continue Reading....

Kanisa la Anglikana Lapata Askofu Mkuu Ulimwenguni

Posted on: November 10, 2012 - jomushi
Kanisa la Anglikana Lapata Askofu Mkuu Ulimwenguni

KIONGOZI wa kiroho wa Kanisa la Anglikana, Justin Welby amesema ameshangazwa na nyadhifa aliyopewa ya Askofu Mkuu wa Kanisa Hilo Ulimwenguni ikiwa ni baada ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari