RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amekwenda Mozambique leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambako atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Dk Shein Aomba ICT Kuitangaza Karafuu ya Zanzibar Katika Soko la Kimataifa
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amekutana na ujumbe kutoka Kituo cha Biashara…
Continue Reading....Askofu Laizer wa KKKT Kuzikwa Kanisani Ijumaa
ALIYEKUWA Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk. Thomas Laizer aliyefariki juzi mkoani Arusha anatarajiwa kuzikwa Ijumaa kanisani.…
Continue Reading....Dk Bilal Akiwa Ziarani Jijini Washngton DC
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio…
Continue Reading....Runinga Hupoteza Nguvu za Kiume
WANAUME wanaotumia muda wa saa tatu na zaidi kwa siku kutazama runinga wanapoteza nguvu za kiume ukilinganisha na wale wanaotazama runinga mara chache. Utafiti uliofanywa…
Continue Reading....Handeni, Kilindi Wazimia kwa Njaa
WAKATI wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha njaa ikisababisha baadhi ya wanaume kukimbia familia zao, Wilaya ya Handeni na Kilindi mkoani Tanga, baadhi ya…
Continue Reading....