Category: Habari za Nyumbani
Huduma za Upasuaji Magonjwa Anuai Kutolewa Bure na Madaktari
Na Hussein Makame na Frank John-Maelezo CHAMA cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji Tanzania (TSA) kimewaomba wananchi wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha na maeneo jirani…
Continue Reading....CCM Yakanusha Jitegemee Trading Company Kuingia Ubia na TPA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kimekanusha tuhuma za kudaiwa kuingia mkataba wa ubia na Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) kupitia kampuni inayomilikiwa na chama hicho,…
Continue Reading....Watuhumiwa 11 Kesi ya Kuporomosha Ghorofa Kizimbani
MFANYABIASHARA Radha Hussein Ladha wa jijini Dar es Salaam, Diwani katika Manispaa ya Kinondoni, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki (59) na wenzao 9, jana walifikishwa…
Continue Reading....Mvutano Kuhusu Haki ya Kuchinja Wanyama Wazua Vurugu Tunduma
VURUGU kubwa zilizuka jana katika Mji wa Tunduma ambao ni makao makuu ya Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, baada kutokea mvutano mkali kuhusu nani…
Continue Reading....Polisi Wawasaka Diwani na Mchungaji KKKT Vurugu za Tunduma
DIWANI wa Kata ya Tunduma, Frank Mwaijoka (Chadema) pamoja na Mchungaji wa Kanisa la KKKT katika eneo hilo la Tunduma wilayani momba Mkoani mbeya wametakiwa…
Continue Reading....