Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 680

Category: Habari za Nyumbani

Hatari; Bomu Larushwa Kanisani Arusha, Mmoja Afariki, Wengi Wajeruhiwa

Posted on: May 6, 2013May 6, 2013 - jomushi
Hatari; Bomu Larushwa Kanisani Arusha, Mmoja Afariki, Wengi Wajeruhiwa

MTU mmoja amefariki dunia na wengine 59 kujeruhiwa akiwamo Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Askofu Mkuu Francisco Montecillo Padilla jana asubuhi…

Continue Reading....

Mmoja Afariki, Majina ya Majeruhi Mlipuko Kanisa Katoliki Arusha Yatajwa

Posted on: May 5, 2013May 6, 2013 - jomushi
Mmoja Afariki, Majina ya Majeruhi Mlipuko Kanisa Katoliki Arusha Yatajwa

TAARIFA za mwendelezo wa tukio la mlipuko wa kitu kinachohisiwa kuwa ni bomu katika Kanisa Katoliki la Mt. Joseph Mfanyakazi zinasema mtu mmoja tayari amefariki…

Continue Reading....

JK Awasili Kuwait kwa Ziara ya Kikazi ya Siku mbili

Posted on: May 5, 2013May 5, 2013 - jomushi
JK Awasili Kuwait kwa Ziara ya Kikazi ya Siku mbili

Continue Reading....

Waziri Pinda: Tafuteni Njia ya Kuinusuru MSD

Posted on: May 5, 2013 - jomushi
Waziri Pinda: Tafuteni Njia ya Kuinusuru MSD

  WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amemwagiza Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid awasiliane na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za…

Continue Reading....

Siku ya Wakunga Duniani Mikono ya Kwanza Kukupokea Duniani

Posted on: May 5, 2013May 5, 2013 - jomushi
Siku ya Wakunga Duniani Mikono ya Kwanza Kukupokea Duniani

TANZANIA inawahitaji wakunga sasa, kuliko wakati mwingine wowote ule Akinamama 5,000 na watoto wachanga 32,000 wangeweza kuokolewa ifikapo 2015 Mama Ye! leo, Mei 5, inatoa…

Continue Reading....

Breaking News; Kanisa Katoliki Lalipuliwa Arusha

Posted on: May 5, 2013May 5, 2013 - jomushi
Breaking News;  Kanisa Katoliki Lalipuliwa Arusha

KANISA Katoliki Parokia Teule ya Mt. Joseph Mfanyakazi Olasiti la jijini Arusha limelipuliwa na mlipuko unaodhaniwa kuwa ni bomu la kurushwa. Kamanda wa Polisi Mkoa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari