Na Mwandishi Wetu MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Sitta amechaguliwa muda huu baada ya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Utepe Mweupe Wakemea Tabia ya Uuzaji Damu Hospitalini
MTANDAO wa Utepe Mweupe na Uzazi Salama (White Ribbon Allience for Safe Motherhood) umekemea vikali tabia zinazofanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali na vituo…
Continue Reading....Waliokwamisha Ujenzi Miundombinu Mloganzila Wakubali Yaishe
Na Aron Msigwa, Maelezo BAADHI ya wakazi wa eneo la Mloganzila waliokuwa wamezuia maeneo yao kutumiwa kupitisha miundombinu ya maji, barabara na umeme kwa ajili…
Continue Reading....Bunge la Katiba Lapitisha Kanuni, Mtikila ‘Achafua’ Hewa Bungeni…!
Na Joachim Mushi BUNGE Maalumu la Kujadili rasimu ya Katiba Mpya limepitisha kanuni zitakazotumika kuwaongoza wabunge hao katika kutekeleza kazi zao. Rasimu hiyo ya kanuni…
Continue Reading....CCM Yampitisha Rasmi Ridhiwan Kikwete Kugombea Jimbo la Chalinze
Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha rasmi mtoto wa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete kugombea Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya chama hicho.…
Continue Reading....Waandishi wa Habari za Kilimo Wanalewa Arusha
Cosmas Njingo-afisa habari na mawasiliano wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro akichangia mada. Zadock Kitomary-Mkulima bora mara mbili mfululizo katika Halmashauri ya…
Continue Reading....