Na Mwandishi Maalumu, Karatu CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Waziri Pinda Aongoza Kuaga Mwili wa Chang’a
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda ameongoza viongozi kadhaa na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa…
Continue Reading....Mwananchi- Usifikiri Dampo, ni Kituo Cha Daladala!
Picha ya kwanza, inaonyesha chakula (mapaja ya kuku) kikiuzwa pembezoni mwa kituo cha Mabasi, Banana, wilayani Ilala. Meza zimewekwa juu ya mifereji ya kupitisha Maji…
Continue Reading....Jiji la Dar Bado Limejaa Maji!
Kama picha zinavyoonyesha hapo juu, jiji la Dar limeendelea kutesa wakazi wake kwa madimbwi yaliyosheheni Kila kona baada ya mvua kunyesha. Hapo ni maeneo ya…
Continue Reading....Rais Kikwete Atoa Rambirambi Vifo vya Wananchi na DC Kalambo
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Paschal Mabiti, kuomboleza vifo vya watu…
Continue Reading....Samuel Sitta Aifuata UKAWA Zanzibar
WAKATI viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiweka kambi Zanzibar, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana naye alitumia siku nzima…
Continue Reading....