Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 475

Category: Habari za Nyumbani

Watakiwa Kuzingatia Usafi wa Mazingira

Posted on: April 29, 2014 - jomushi
Watakiwa Kuzingatia Usafi wa Mazingira

Na Hassan Silayo – MAELEZO WANANCHI wameaswa kuzingatia usafi wa mazingira kwa kuwa ni jukumu la kila mwananchi kulinda na kutunza na kuzingatia kanuni za…

Continue Reading....

Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Posted on: April 29, 2014April 29, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: daladala, Dar, kushirikiana, manispaa, mke, mume
Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Maisha ya sasa kushirikiana kama picha zinavyoonyesha hapo juu, mke na mume kwakishirikiana kuuza vitumbua. Mke akichoma na mume akiwa anatoa huduma kwa wateja, ambao…

Continue Reading....

Wanaharakati Walaani Maovu Wanayofanyiwa Wanahabari…!

Posted on: April 29, 2014April 29, 2014 - jomushi
Wanaharakati Walaani Maovu Wanayofanyiwa Wanahabari…!

Picha juu na chini ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Bw. Mohamed Tibanyendera (wa pili kushoto)…

Continue Reading....

Marais EAC Kukutana Jumatano Mkoani Arusha

Posted on: April 29, 2014 - jomushi
Marais EAC Kukutana Jumatano Mkoani Arusha

Na Mtuwa Salira, EANA, Arusha MARAIS wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) watafanya mkutano maalum mjini hapa Jumatano wiki hii, linaripoti Shirika…

Continue Reading....

CHADEMA, CUF, na NCCR-Mageuzi Kushirikiana Uchaguzi 2015

Posted on: April 28, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Vyama vya Siasa
CHADEMA, CUF, na NCCR-Mageuzi Kushirikiana Uchaguzi 2015

*Kusimamisha mgombea mmoja wa urais 2015 VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeanza maandalizi ya kushirikiana katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kusimamisha…

Continue Reading....

Waziri wa Fedha Awataka Wafanyakazi Wizara Yake Kujituma

Posted on: April 28, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wizara ya Fedha
Waziri wa Fedha Awataka Wafanyakazi Wizara Yake Kujituma

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO WAFANYAKAZI wa Wizara ya Fedha wametakiwa kufanyakazi kwa bidii na kujituma kwa moyo wote ili kukuza uchumi wa nchi na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari