Picha zinaonyesha magari (mara nyingi Daladala) yakiendeshwa upande wa gari zitokazo upande wa pili, maarufu kama “Kutanua”! Tabia hii imekuwa ikisababisha misongamano, isiyokuwa ya lazima…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Ujumbe wa Leo!
Tumegundua hizi jumbe za mjini Dar huwa zinajibishana kwasababu kuna ujumbe mmoja (kwenye Bodaboda) tuliweka hapa ulikuwa unasema “Usije Mjini” na huu wa leo kwenye…
Continue Reading....Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe
Na Joachim Mushi, Mbeya Vijijini BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na…
Continue Reading....Vifo vya Watu 19 katika Ajali Singida Vyamgusa Rais Kikwete
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida, Perseko Kone kufuatia vifo vya watu…
Continue Reading....Halmashauri, Wadau wa Jiji Mwanza Waanza Maandalizi Siku ya Mtoto wa Afrika
HALMASHAURI pamoja na wadau toka mashirika na taasisi za kutetea na kulinda haki za watoto jijini Mwanza wameanza rasmi vikao vya maandalizi ya kuadhimisha sherehe…
Continue Reading....Basi Laua Trafiki Wanne, Viongozi wa Kijiji, Ndugu 10, 55 Wanusurika Kifo
WATU 19 wakiwamo askari polisi wanne wa Kituo Kikuu cha Polisi mkoani Singida wamekufa papo hapo baada ya kugogwa na basi la Sumry lililokuwa linatoka…
Continue Reading....