Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 474

Category: Habari za Nyumbani

Madereva Wetu Ndio Husababisha Misongamano Isiyo ya Lazima Barabarani!

Posted on: May 1, 2014May 1, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: ajali, daladala, Dar
Madereva Wetu Ndio Husababisha Misongamano Isiyo ya Lazima Barabarani!

Picha zinaonyesha magari (mara nyingi Daladala) yakiendeshwa upande wa gari zitokazo upande wa pili, maarufu kama “Kutanua”! Tabia hii imekuwa ikisababisha misongamano, isiyokuwa ya lazima…

Continue Reading....

Ujumbe wa Leo!

Posted on: May 1, 2014May 1, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: bajaji, bodaboda, Dar, Ujumbe
Ujumbe wa Leo!

Tumegundua hizi jumbe za mjini Dar huwa zinajibishana kwasababu kuna ujumbe mmoja (kwenye Bodaboda) tuliweka hapa ulikuwa unasema “Usije Mjini” na huu wa leo kwenye…

Continue Reading....

Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe

Na Joachim Mushi, Mbeya Vijijini BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na…

Continue Reading....

Vifo vya Watu 19 katika Ajali Singida Vyamgusa Rais Kikwete

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Ajali ya Basi, featured
Vifo vya Watu 19 katika Ajali Singida Vyamgusa Rais Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida, Perseko Kone kufuatia vifo vya watu…

Continue Reading....

Halmashauri, Wadau wa Jiji Mwanza Waanza Maandalizi Siku ya Mtoto wa Afrika

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Siku ya Mtoto wa Afrika
Halmashauri, Wadau wa Jiji Mwanza Waanza Maandalizi Siku ya Mtoto wa Afrika

HALMASHAURI pamoja na wadau toka mashirika na taasisi za kutetea na kulinda haki za watoto jijini Mwanza wameanza rasmi vikao vya maandalizi ya kuadhimisha sherehe…

Continue Reading....

Basi Laua Trafiki Wanne, Viongozi wa Kijiji, Ndugu 10, 55 Wanusurika Kifo

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Ajali ya Basi, featured
Basi Laua Trafiki Wanne, Viongozi wa Kijiji, Ndugu 10, 55 Wanusurika Kifo

WATU 19 wakiwamo askari polisi wanne wa Kituo Kikuu cha Polisi mkoani Singida wamekufa papo hapo baada ya kugogwa na basi la Sumry lililokuwa linatoka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari