Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 468

Category: Habari za Nyumbani

Mbowe Atangaza Mawaziri Kivuli Upinzani

Posted on: May 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mawaziri Kivuli
Mbowe Atangaza Mawaziri Kivuli Upinzani

KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, ametangaza Baraza lake la mawaziri kivuli 28 na naibu mawaziri 12, na kufanya baraza lote kuwa…

Continue Reading....

Mbunge CCM Adai Serikali ya CCM Inaendeshwa Kisanii

Posted on: May 12, 2014May 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mbunge CCM
Mbunge CCM Adai Serikali ya CCM Inaendeshwa Kisanii

MBUNGE machachari wa Mwibara, Alphaxard Kangi Lugola, amedai kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo yeye ni mbunge wake, inaendeshwa kisanii. Lugola ambaye katika…

Continue Reading....

Hotuba ya Waziri Pinda Akijibu Hoja za Wabunge Kuhusu Bajeti ya Ofisi Yake

Posted on: May 11, 2014 - jomushi
Hotuba ya Waziri Pinda Akijibu Hoja za Wabunge Kuhusu Bajeti ya Ofisi Yake

MAELEZO YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU, WAKATI AKIJIBU HOJA ZA WABUNGE KUHUSU HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA TAASISI…

Continue Reading....

Utekelezaji wa Mpangokazi wa APRM Washika Kasi

Posted on: May 11, 2014May 11, 2014 - jomushi
Post Tags: APRM, featured
Utekelezaji wa Mpangokazi wa  APRM Washika Kasi

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyiakazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti…

Continue Reading....

Rais Kikwete Atembelea Kiwanda Kikubwa cha Saruji Duniani

Posted on: May 11, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Kiwanda cha Dangote
Rais Kikwete Atembelea Kiwanda Kikubwa cha Saruji Duniani

*Ni kile kinachomilikiwa na mwekezaji anayejenga kiwanda Mtwara RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ametumia siku ya Mei 9, 2014, kutembelea…

Continue Reading....

Serikali Haijawatimua Kazini Maprofesa Kideghesho na Songorwa

Posted on: May 10, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, serikali
Serikali Haijawatimua Kazini Maprofesa Kideghesho na Songorwa

SERIKALI inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa na kutangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu Watumishi Waandamizi wa Wizara ya Maliasili na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari