Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 461

Category: Habari za Nyumbani

TGNP Yawanoa Wabunge Juu ya Bajeti ya Mrengo wa Kijinsia

Posted on: May 26, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, TGNP na wabunge kimrengo wa jinsia
TGNP Yawanoa Wabunge Juu ya Bajeti ya Mrengo wa Kijinsia

TGNP Mtandao wamekutana na Kamati za Bunge Mjini Dodoma katika warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa Hazina ndogo. Warsha hiyo ililenga kuwawezesha Wabunge…

Continue Reading....

Ujenzi Mabondeni Waendelea Pamoja na Maafa ya Mvua Zilizopita!

Posted on: May 26, 2014May 26, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, wakazi
Ujenzi Mabondeni Waendelea Pamoja na Maafa ya Mvua Zilizopita!

Pamoja na notisi iliyobandikwa tarehe 13.5.2013, ikiwataka wabomoe majengo hayo. Wakazi hao wamepuuza notisi hiyo, na sasa nyumba hizo zimekamilika na wakazi wameshahamia. Mwandishi alishuhudia…

Continue Reading....

Baba Amuua Mwanaye kwa Adhabu Kali

Posted on: May 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Baba amuuwa mwanaye, featured
Baba Amuua Mwanaye kwa Adhabu Kali

*Ampaka pilipili machoni na makalioni SIMANZI, vilio na majonzi vilitawala Kijiji cha Misiri, Kata ya Bugarama, wilayani Geita, kutokana na tukio la kifo cha mtoto,…

Continue Reading....

Lissu Awataja Mawaziri, Wabunge Walioomba Fedha LAPF

Posted on: May 26, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wabunge Walioomba Fedha LAPF
Lissu Awataja Mawaziri, Wabunge Walioomba Fedha LAPF

MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amewataja kwa majina mawaziri na wabunge aliosema bungeni kuwa wamekuwa ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Baadhi…

Continue Reading....

Mzindakaya Agoma Kumsamehe Mbunge wa CCM Mkutanoni, Pinda Atoa Kauli Nzito…!

Posted on: May 25, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mzindakaya Agoma Kumsamehe Mbunge wa CCM
Mzindakaya Agoma Kumsamehe Mbunge wa CCM Mkutanoni, Pinda Atoa Kauli Nzito…!

  MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kwela, Chrisant Mzindakaya amekataa kumsamehe hadharani Mbunge wa sasa wa Sumbawanga Mjini, Bw. Aeshi Hilali baada ya kupewa…

Continue Reading....

Pinda Awataka Viongozi Rukwa Kumaliza Tatizo la Madawati

Posted on: May 25, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Tatizo la Madawati Rukwa
Pinda Awataka Viongozi Rukwa Kumaliza Tatizo la Madawati

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Mkoa wa Rukwa kuhakikisha unamaliza tatizo la upungufu wa madawati ili watoto wa shule za msingi wasiendelee kukaa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari