Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 460

Category: Habari za Nyumbani

Mbunge wa Nkasi Nusura Apigwe na Wabunge wa CUF

Posted on: May 28, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mbunge na Kipigo
Mbunge wa Nkasi Nusura Apigwe na Wabunge wa CUF

KELELE, kukunjana na kunyoosheana vidole jana mchana vilitawala nje ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wa CUF kutoka Zanzibar walipotaka ‘kumkanya’ Mbunge wa Nkasi Kaskazini…

Continue Reading....

GEPF Waisaidia Shule ya Msingi Kakuni, Kibaoni

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: GEPF Waisaidia Shule
GEPF Waisaidia Shule ya Msingi Kakuni, Kibaoni

*Ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu Pinda   WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea msaada wa mabati 350 yenye thamani ya milioni 17.2 ikiwa ni mchango kutoka…

Continue Reading....

Mohammed Dewji Ataka Madhehebu Kushirikiana na Serikali Kuleta Maendeleo

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Mohammed Dewji Ataka Madhehebu Kushirikiana na Serikali Kuleta Maendeleo

Na Nathaniel Limu, Singida MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohammed Gulam Dewji amewahimiza waumini wa madhahebu mbalimbali ya dini kuendelea kushirikiana na serikali ili…

Continue Reading....

Vigogo Tanesco Wafikishwa Mahakamani, Yumo Mkurugenzi Mkuu

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Vigogo Tanesco mahakamani
Vigogo Tanesco Wafikishwa Mahakamani, Yumo Mkurugenzi Mkuu

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando na mkewe Eva Mhando, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam…

Continue Reading....

Upinzani Waibua Ufisadi Wizara ya Uchukuzi

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Ufisadi Wizara ya Uchukuzi
Upinzani Waibua Ufisadi Wizara ya Uchukuzi

KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imeibua ufisadi wa kutisha, kwamba Wizara ya Uchukuzi iliiagiza Mamlaka ya Bandari (TPA), ilipe gharama za sh milioni 11.164 katika…

Continue Reading....

Daladala Dar Zagoma Kwenda Mwenge…!

Posted on: May 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Daladala Dar Zagoma, featured
Daladala Dar Zagoma Kwenda Mwenge…!

ABIRIA wanaotumia njia ya Makumbusho kuelekea Mwenge kutokea Tandika, Buguruni na Mbagala leo wameonja joto ya jiwe kwa takribani masaa kadhaa baada ya mabasi yanayotumia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari