Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 444

Category: Habari za Nyumbani

JK Apongeza Vyama vya Siasa, Ashauri Viongozi wa Dini Kuombea Bunge

Posted on: July 14, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, JK Apongeza Vyama vya Siasa
JK Apongeza Vyama vya Siasa, Ashauri Viongozi wa Dini Kuombea Bunge

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amevipongeza vyama vinne vikuu vya siasa nchini ambavyo vimeanzisha majadiliano ya kutafuta namna wajumbe waliosusia Bunge…

Continue Reading....

Rais Kikwete Azitaka Halmashauri Kutenga Ardhi kwa NHC

Posted on: July 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Halmashauri Kutenga Ardhi kwa NHC
Rais Kikwete Azitaka Halmashauri Kutenga Ardhi kwa NHC

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameziagiza Halmashauri zote nchini kutenga ardhi kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa ajili ya kujenga nyumba za bei nafuu…

Continue Reading....

Uholanzi Yawaongezea Machungu Wabrazili, Yawachapa 3-0

Posted on: July 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Uholanzi Yawaongezea Machungu Wabrazili
Uholanzi Yawaongezea Machungu Wabrazili, Yawachapa 3-0

TIMU ya taifa ya Uholanzi imeongeza machungu kwa timu ya taifa ya Brazil katika fainali za kombe la dunia baada ya kuichapa timu hiyo mabao…

Continue Reading....

Salma Kikwete Apinga Ndoa za Utotoni na Taasisi ya Segal Family

Posted on: July 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Ndoa za Utotoni
Salma Kikwete Apinga Ndoa za Utotoni na Taasisi ya Segal Family

Na Anna Nkinda – Maelezo, Arusha JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kupiga vita ndoa za utotoni hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa sera na…

Continue Reading....

Serikali Kujenga Reli ya Kati, Pinda Awaambia Watanzania Uingereza

Posted on: July 12, 2014July 12, 2014 - jomushi
Serikali Kujenga Reli ya Kati, Pinda Awaambia Watanzania Uingereza

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali ina mpango wa kujenga reli mpya ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza kupitia mikoa na…

Continue Reading....

Serikali Yaombwa Kudhibiti Utengenezaji Pombe Kienyeji

Posted on: July 12, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Utengenezaji Pombe Kienyeji
Serikali Yaombwa Kudhibiti Utengenezaji Pombe Kienyeji

Na Mwandishi Wetu, Rombo SERIKALI imeombwa kudhibiti utengenezaji holela wa pombe za kienyeji katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ambao umekuwa hauzingatii afya ya mtumiaji.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari