Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 443

Category: Habari za Nyumbani

Kamati Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Yakutana Dar

Posted on: July 17, 2014 - jomushi
Post Tags: Kamati Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kamati Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Yakutana Dar

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue Julai 16, 2014 amekutana na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Thomas cha Minnesota, Marekani wanaotembelea Tanzania kujifunza…

Continue Reading....

Mwanahabari Lyassa Ataja Vipaumbele Vyake Uchaguzi TUCTA

Posted on: July 16, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mwanahabari Lyassa Ataja Vipaumbele Vyake Uchaguzi TUCTA

MWANAHABARI mkongwe, Dismas Lyassa ambaye anagombea nafasi ya Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) leo amezungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam akitaja…

Continue Reading....

TASAF Kupunguza Umaskini Kwenye Familia Rombo

Posted on: July 16, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, TASAF Kupunguza Umaskini
TASAF Kupunguza Umaskini Kwenye Familia Rombo

Yohane Gervas, Rombo MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), imedhamiria kupunguza umasikini katika familia kupitia mpango wa kunusuru hali ya umasikini kwenye kaya unaotekelezwa na…

Continue Reading....

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Yaongeza Muda wa Maombi

Posted on: July 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Yaongeza Muda wa Maombi, featured
Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Yaongeza Muda wa Maombi

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongeza muda wa kupokea maombi ya mara ya kwanza ya mikopo kwa mwezi mmoja zaidi.…

Continue Reading....

Pinda Asema Sera ya Diaspora iko Mbioni Kukamilika, Serikali Yaandaa Kongamano

Posted on: July 14, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Pinda asema Sera ya Diaspora kukamilika
Pinda Asema Sera ya Diaspora iko Mbioni Kukamilika, Serikali Yaandaa Kongamano

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye…

Continue Reading....

Mtanzania Mzalendo Aishauri Serikali Kuhamia Dodoma

Posted on: July 14, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Makao makuu ya Tanzania
Mtanzania Mzalendo Aishauri Serikali Kuhamia Dodoma

Lorietha Laurence na Rose Masaka (SJMC) SERIKALI imeshauriwa kuendeleza mchakato wa kuhamisha ofisi zote zake mkoani Dodoma kwenye makao makuu ya nchi yetu ili kuweza kupunguza msongamano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari