Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 433

Category: Habari za Nyumbani

Wabunge CCM Wameguka Katiba Mpya…!

Posted on: August 9, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wabunge CCM Wameguka
Wabunge CCM Wameguka Katiba Mpya…!

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kumeguka baada ya baadhi ya wabunge wake ambao ni Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuunga mkono kauli ya Naibu…

Continue Reading....

Mwanafunzi Miaka 13 Msingi Abebeshwa Mimba, Afaulu Sekondari…!

Posted on: August 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mwanafunzi Miaka 13 Msingi Abebeshwa Mimba
Mwanafunzi Miaka 13 Msingi Abebeshwa Mimba, Afaulu Sekondari…!

Na Joachim Mushi, Newala MIMBA za umri mdogo ambazo zimekuwa zikiwakatisha wanafunzi masomo Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara bado ni tatizo. Matukio ya mimba hizi…

Continue Reading....

Matukio Picha Ziara ya dev.kisakuzi.com Tunduru, Songea na Masasi

Posted on: August 8, 2014 - jomushi
Post Tags: dev.kisakuzi.com Tunduru, featured, Songea na Masasi
Matukio Picha Ziara ya dev.kisakuzi.com Tunduru, Songea na Masasi

Continue Reading....

Mfumuko wa Bei Julai Wapanda hadi Asilimia 6.5

Posted on: August 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mfumuko wa Bei Wapanda
Mfumuko wa Bei Julai Wapanda hadi Asilimia 6.5

Na Aron Msigwa – MAELEZO OFISI ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa ongezeko dogo la mfumuko wa bei nchini kutoka asilimia 6.4 za mwezi June…

Continue Reading....

George Bush Ampongeza Mama Salma Kikwete

Posted on: August 8, 2014 - jomushi
Post Tags: George Bush Ampongeza Mama Salma Kikwete
George Bush Ampongeza Mama Salma Kikwete

Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington RAIS wa zamani wa Marekani George W. Bush amempongeza Mke wa Rais Mama Kikwete kutokana na kazi nzuri anayoifanya…

Continue Reading....

Rais Kikwete Akutana na Rais Bush na Rais Mpya wa Malawi

Posted on: August 8, 2014 - jomushi
Rais Kikwete Akutana na Rais Bush na  Rais Mpya wa Malawi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Agosti 7, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo ya faragha na Rais wa 43 wa Marekani, Mheshimiwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari