Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 423

Category: Habari za Nyumbani

Wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe Waunga Mkono Bunge la Katiba

Posted on: August 26, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba, Wanafunzi Mzumbe
Wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe Waunga Mkono Bunge la Katiba

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro wameunga mkono mchakato wa Bunge Maalumu la Katiba wakisema kuwa wanaridhishwa na hatua iliyofikiwa na mwendo mzima…

Continue Reading....

Watoto 984 Waolewa Tarime, 1,628 Wakeketwa…!

Posted on: August 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Wakeketwa, Waolewa Tarime, Watoto 984
Watoto 984 Waolewa Tarime, 1,628 Wakeketwa…!

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam JUMLA ya wasichana wenye umri mdogo wapatao 984 wameolewa na kukatishwa masomo huku wasichana wengine 1,628 wakikeketwa wilayani Tarime,…

Continue Reading....

JK Acharuka Aipa Wiki Moja Halmashauri Kilosa, Atembelea Chuo cha Mzumbe

Posted on: August 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Chuo cha Mzumbe, Halmashauri Kilosa, JK Acharuka
JK Acharuka Aipa Wiki Moja Halmashauri Kilosa, Atembelea Chuo cha Mzumbe

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameupa wiki moja uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, kuwapatia viwanja…

Continue Reading....

Askari Mtunza Silaha Dodoma Akamatwa Akiwinda Haramu na Silaha ya Kivita

Posted on: August 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Askari Polisi, Dodoma awinda haramu, Silaha
Askari Mtunza Silaha Dodoma Akamatwa Akiwinda Haramu na Silaha ya Kivita

*Akutwa na silaha ya kivita Na Mwandishi Wetu, Dodoma ASKARI wa Jeshi la Polisi mkoani Dodoma ambaye ni mtunza silaha wa Wilaya ya Dodoma mjini,…

Continue Reading....

Makanisa Singida Yawakemea Wabunge Bunge la Katiba

Posted on: August 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Makanisa, Singida, Wabunge Bunge la Katiba
Makanisa Singida Yawakemea Wabunge Bunge la Katiba

Askofu wa kanisa la Evanglist Assembels of God Tanzania (E.A.G.T) Singida mjini, John Mafwimbo akizungumza kwenye mkutano wa Injili uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya…

Continue Reading....

Kampeni ya Kupinga Ndoa za Utotoni Kuzinduliwa Dar

Posted on: August 25, 2014August 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Kampeni Kupinga, Ndoa za Utotoni, Yazinduliwa Dar
Kampeni ya Kupinga Ndoa za Utotoni Kuzinduliwa Dar

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, kwa kushirikiana na mashirika na asasi anuai zinazotetea haki…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari