Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 402

Category: Habari za Nyumbani

Bunge la Katiba Lapitisha Katiba Inayopendekeza, Pinda Ataka Ianze 2015

Posted on: October 2, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba, Pinda Ataka Ianze 2015
Bunge la Katiba Lapitisha Katiba Inayopendekeza, Pinda Ataka Ianze 2015

HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba limehitimisha kazi yake leo Mjini Dodoma na kutolewa kwa matokeo ya upigaji kura kwa wajumbe kuipitisha Katiba inayopendekezwa. Akisoma taarifa…

Continue Reading....

NSSF Yakisaidia Kitengo cha Wagonjwa Mahututi Muhimbili

Posted on: October 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Kitengo wagonjwa Mahututi, Muhimbili, NSSF
NSSF Yakisaidia Kitengo cha Wagonjwa Mahututi Muhimbili

Na Mwandishi Wetu MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umechangia kiasi cha shilingi milioni 20 kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Msaada huo…

Continue Reading....

Barabara ya Mwenge-Tegeta Yagharimu Bilioni 77.85

Posted on: October 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Barabara ya Mwenge, Bilioni 77.8, Tegeta
Barabara ya Mwenge-Tegeta Yagharimu Bilioni 77.85

BARABARA ya Mwenge-Tegeta ya jijini Dar es Salaam yenye urefu wa kilomita 12.9 imegharimu kiasi cha Sh. bilioni 77.85, fedha ambazo zimetolewa na Serikali ya…

Continue Reading....

Lusekelo Mwaseba Ateuliwa Naibu Kamishna Mkuu TRA

Posted on: October 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Lusekelo Mwaseba, Naibu Kamishna Mkuu TRA
Lusekelo Mwaseba Ateuliwa Naibu Kamishna Mkuu TRA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lusekelo Mwaseba kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Taarifa…

Continue Reading....

JK Ataja Hatua Saba Zinazofanywa Kupunguza Msongamano Dar

Posted on: October 2, 2014 - jomushi
Post Tags: JK, Magari Dar, Msongamano
JK Ataja Hatua Saba Zinazofanywa Kupunguza Msongamano Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ametaja hatua saba ambazo Serikali yake imeanza kuzichukua ili kukabiliana na msongamano wa magari katika Jiji…

Continue Reading....

Pinda Awataka ma-RC, DC Kwenda na Kasi ya BRN

Posted on: October 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Kasi ya BRN, Waziri Pinda
Pinda Awataka ma-RC, DC Kwenda na Kasi ya BRN

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu, Mizengo Peter Pinda amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuendana na kasi ya Mpango wa MATOKEO Makubwa Sasa (BRN)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari