Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 385

Category: Habari za Nyumbani

Taarifa za Soko la Ajira Zahitajika Kupanga Matumizi ya Nguvu kazi

Posted on: November 5, 2014 - jomushi
Taarifa za Soko la Ajira Zahitajika Kupanga Matumizi ya Nguvu kazi

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. Taarifa za soko la ajira zina umuhimu wa kipekee katika kupanga, kutekeleza na kupima ufanisi wa mipango ya kiuchumi nchini pamoja…

Continue Reading....

RITA na Mafanikio ya Mkakati wa Usajili wa Utoaji wa Vyeti vya Kuzaliwa

Posted on: November 5, 2014 - jomushi
Post Tags: RITA
RITA na Mafanikio ya Mkakati wa Usajili wa Utoaji wa Vyeti vya Kuzaliwa

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. MOJA YA MAJUKUMU makubwa  ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kama taasisi ya Serikali iliyopo chini ya Wizara ya…

Continue Reading....

Waziri Nyalandu Awaomba Viongozi wa Dini Kupigania Mazingira

Posted on: November 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Mazingira, Viongozi wa Dini, Waziri Nyalandu
Waziri Nyalandu Awaomba Viongozi wa Dini Kupigania Mazingira

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini nchini kupaza sauti kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira…

Continue Reading....

Wanawake Watakiwa Kugombea Uchaguzi Serikali za Mitaa

Posted on: November 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Serikali za Mitaa, Uchaguzi, wanawake
Wanawake Watakiwa Kugombea Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Anna Nkinda – Maelezo, Nachingwea WANAWAKE nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji utakaofanyika…

Continue Reading....

CHAUMMA Yapongeza Vyama Vya UKAWA Kuungana!

Posted on: November 2, 2014November 3, 2014 - kizungumkuti
Post Tags: Chaumma, Rungwe, Ukawa
CHAUMMA Yapongeza Vyama Vya UKAWA Kuungana!

  Muungano huo kwa mujibu wa CHAUMMA ni harakati za kuwakomboa watanzania kutoka mikononi mwa watu ambao wamejipa haki ya kutawala kwa hila na kila…

Continue Reading....

Katiba Inayopendekezwa ni Batili – CHAUMMA

Posted on: November 2, 2014 - Rungwe Jr.
Katiba Inayopendekezwa ni Batili – CHAUMMA

  Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA, leo kimeibua mapungufu na kasoro kubwa kwenye Katiba Inayopendekezwa, kwa kile ilichoeleza kuwa Katiba hiyo imewanyima wananchi wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari