Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 381

Category: Habari za Nyumbani

Paka Amponza Mfugaji, Amfunga Miaka 3 Jela

Posted on: November 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Amfunga Miaka 3, Jela Rombo, Paka
Paka Amponza Mfugaji, Amfunga Miaka 3 Jela

MAHAKAMA ya mwanzo Mengwe wilayani Rombo imemhukumu mkazi wa Rombo, Godfrey Kimaryo(32) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya…

Continue Reading....

Samsung, UNESCO Kujenga Kijiji cha Digitali Loliondo

Posted on: November 14, 2014 - jomushi
Post Tags: Kijiji cha Digitali, Loliondo, Samsung, UNESCO
Samsung, UNESCO Kujenga Kijiji cha Digitali Loliondo

Mwakilishi mkazi shirika la UNESCO nchini Bi. Zulmira Rodrigues  na Mkurugenzi wa  Samsung Electronics nchini Tanzania, Bw. Mike Seo wakibadilishana nyaraka za makubaliano hayo yaliyofanyika…

Continue Reading....

Wahimizwa Kujitokeza Kupima Ugonjwa wa Kisukari

Posted on: November 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Ugonjwa wa Kisukari, Wizara ya Afya
Wahimizwa Kujitokeza Kupima Ugonjwa wa Kisukari

Na Beatrice Lyimo – Maelezo SERIKALI imetoa wito kwa kila mwananchi nchini kuhakikisha kwamba anapima afya yake mara kwa mara kwa kuwa ugonjwa wa kisukari unaweza…

Continue Reading....

Ubunifu wa BRN Wavutia Wawekezaji Sekta Binafsi

Posted on: November 13, 2014 - jomushi
Post Tags: BRN, Sekta Binafsi, Wawekezajim
Ubunifu wa BRN Wavutia Wawekezaji Sekta Binafsi

Na Mwandishi Wetu MKUTANO wa kwanza wa aina yake ulioandaliwa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) umefanikiwa kuwakutanisha mahali pamoja wawekezaji wakubwa kutoka mataifa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Kuhamishiwa Hoteli Maalum kwa Uangalizi wa Madaktari

Posted on: November 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Katika Matibabu, Marekani, Rais Kikwete
Rais Kikwete Kuhamishiwa Hoteli Maalum kwa Uangalizi wa Madaktari

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, Novemba 12, 2014, anatarajiwa kutoka wodini katika Hospitali…

Continue Reading....

Friends Rangers Kuivaa Majimaji ya Songea Dar

Posted on: November 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Friends Rangers, Majimaji ya Songea
Friends Rangers Kuivaa Majimaji ya Songea Dar

Mwandishi Wetu KIKOSI cha timu ya Friends Rangers, kesho kinajitupa kwenye Uwanja wa Karume kuvaa na timu ya Majimaji ya Songea, katika mchezo wa Ligi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari