Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 370

Category: Habari za Nyumbani

Chenge Aanza ‘Kumwaga’ Bilioni za Escrow Bariadi

Posted on: December 11, 2014 - jomushi
Post Tags: Bilioni, Chenge, Escrow Bariadi
Chenge Aanza ‘Kumwaga’ Bilioni za Escrow Bariadi

MBUNGE wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge sasa ni kama ameanza kurudisha Shilingi bilioni 1.6 fedha alizopewa kama mgao zilizochotwa katika kaunti ya Tegeta Esrow baana…

Continue Reading....

Benki ya Posta, PSPF Waziduwa Mikopo ya Elimu kwa Vijana

Posted on: December 11, 2014 - jomushi
Post Tags: Benki ya Posta, Mikopo ya Elimu, PSPF
Benki ya Posta, PSPF Waziduwa Mikopo ya Elimu kwa Vijana

WAZIRI wa Kazi na Ajira nchini Tanzania, Gaudensia Kabaka ameipongeza Benki ya Posta Tanzania (TPB) pamoja na Mfuko wa PSPF kwa kushirikiana na kuanzisha mpango…

Continue Reading....

Bodi ya Shule Iliyopata ‘Mgao wa Escrow’ Yamtetea Prof. Tibaijuka

Posted on: December 10, 2014 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Shule Barbro, Escrow, Prof. Tibaijuka
Bodi ya Shule Iliyopata ‘Mgao wa Escrow’ Yamtetea Prof. Tibaijuka

BODI ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust (JOHA TRUST au BARBRO) wamiliki wa shule za Sekondari Bingwa ya Barbro iliyopo jijini…

Continue Reading....

Mchango wa Shs Elfu 15 wa Waziri Chana Wawekwa Hadharani

Posted on: December 10, 2014 - jomushi
Post Tags: ludewa, Mchango, Waziri Chana
Mchango wa Shs Elfu 15 wa Waziri Chana Wawekwa Hadharani

ZIKIWA zimepita siku mbili toka uongozi wa Serikali ya Tarafa ya Mawengi Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kuwapongeza wadau mbalimbali waliojitokeza kuchagia Shule ya Msingi Ludewa mjini iliyokubwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Atunuku Nishani ya Ushupavu Muuza Chips Dar

Posted on: December 10, 2014 - jomushi
Post Tags: Muuza Chips, Nishani ya Ushupavu, Rais Kikwete
Rais Kikwete Atunuku Nishani ya Ushupavu Muuza Chips Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete, Desemba 9, 2014 ametunuku Nishani ya Ushupavu kwa mfanyabiashara ya kukaanga…

Continue Reading....

TAMWA Yazinduwa Tathmini ya Ripoti Mradi wa GEWE

Posted on: December 10, 2014 - jomushi
Post Tags: GEWE, TAMWA, Tathmini Ripoti
TAMWA Yazinduwa Tathmini ya Ripoti Mradi wa GEWE

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na taasisi anuai za kijamii kimezinduwa tathmini ya ripoti juu ya utekelezaji wa mradi wa Kutokomeza Ukatili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari