Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 319

Category: Habari za Nyumbani

Sekretarieti ya Maadili ‘Yamsafisha’ Maswi, Yasema Hakukosea Sakata la Escrow

Posted on: May 8, 2015 - jomushi
Post Tags: Eliakim Maswi, Sakata la Escrow, Sekretarieti ya Maadili
Sekretarieti ya Maadili ‘Yamsafisha’ Maswi, Yasema Hakukosea Sakata la Escrow

Na Mwandishi Wetu UCHUNGUZI wa Awali uliofanywa na Sekretarieti ya Maadili umebaini kuwa Ndugu Eliakim C. Maswi hana makosa yoyote ya kimaadili katika mchakato wa…

Continue Reading....

Elimu Mtandao Kuboresha Huduma za Wajawazito Yazinduliwa

Posted on: May 8, 2015 - jomushi
Post Tags: Elimu Mtandao, Huduma Wajawazito
Elimu Mtandao Kuboresha Huduma za Wajawazito Yazinduliwa

WORLD Lung Foundation (WLF) Tanzania imezindua mradi wa elimu kwa njia ya mtandao katika hatua mpya ya kusaidia kuboresha ubora wa huduma za wajawazito pamoja…

Continue Reading....

JK ‘Abariki’ Sheria ya Makosa Mtandao, Waziri Akaribisha Maoni

Posted on: May 8, 2015 - jomushi
Post Tags: Sheria Makosa Mtandao, Waziri
JK ‘Abariki’ Sheria ya Makosa Mtandao, Waziri Akaribisha Maoni

Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete tayari amesaini sheria ya Uhalifu wa Mtandao (Cyber Crimes) iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni. Sheria hiyo iliyolalamikiwa na wadau…

Continue Reading....

Mvua Zaua Watano Dar, Mamia Hawana Makazi, Mafuriko Kila Kona…!

Posted on: May 8, 2015May 8, 2015 - jomushi
Post Tags: mafuriko, Mvua Dar
Mvua Zaua Watano Dar, Mamia Hawana Makazi, Mafuriko Kila Kona…!

MVUA kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo tangu juzi imesababisha vifo vya watu watano huku mamia wakikosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa. Mvua hiyo…

Continue Reading....

Watanzania Wekezeni kwenye Viwanda – PINDA

Posted on: May 7, 2015 - jomushi
Watanzania Wekezeni kwenye Viwanda – PINDA

WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa…

Continue Reading....

UNFPA Yafadhili Mafunzo kwa Wanahabari Juu ya Afya ya Uzazi

Posted on: May 7, 2015 - jomushi
UNFPA Yafadhili Mafunzo kwa Wanahabari Juu ya Afya ya Uzazi

Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID),…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari