Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 307

Category: Habari za Nyumbani

Meneja Gazeti la Jambo Leo Afariki Dunia…!

Posted on: June 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Jambo Leo, Msiba

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake.  Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na…

Continue Reading....

Mwamyange Azinduwa Baraza la TCAA – CCC Dar es Salaam

Posted on: June 12, 2015 - jomushi
Mwamyange Azinduwa Baraza la TCAA – CCC Dar es Salaam

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Monica Mwamyange akizungumza wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC)…

Continue Reading....

Askofu International Evangelism Church Awataka Watanzania Kujiandikisha…!

Posted on: June 12, 2015 - jomushi
Askofu International Evangelism Church Awataka Watanzania Kujiandikisha…!

Na woinde shizza, Arusha ASKOFU Mkuu wa Kanisa la International Evangelism Church Eliud Isanja  amewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga…

Continue Reading....

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Akana Kuidalalia Ardhi…!

Posted on: June 10, 2015 - jomushi
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Akana Kuidalalia Ardhi…!

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa na mkuu wa wilaya ya Moshi, Novatus Makunga katika mkutano huo na wanahabari. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali ya habari mkoani…

Continue Reading....

Wananchi Wamuandalia Sherehe ya Ushindi Mbunge Wao

Posted on: June 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Sherehe ya Ushindi, wananchi
Wananchi Wamuandalia Sherehe ya Ushindi Mbunge Wao

WANANCHI wa vijiji vya Leguruki na King’ori katika wilaya ya Arumeru wameandaa sherehe kubwa kwa ajili ya mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassar…

Continue Reading....

Tanzania Yashiriki Maridhiano Soko la Pamoja

Posted on: June 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Comesa, Soko la Pamoja
Tanzania Yashiriki Maridhiano Soko la Pamoja

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal Juni 10, 2015 amemuwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mkutano wa Wakuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari